October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,995
- Thread starter
- #21
You need to pay 300 U$D for more clarification.Ninavitu muhimu sana nataka kujua kutoka kwake mkuu narudia ni muhimu sana aisee naomba ushirikiano wako kama hautojali
You need to pay 300 U$D for more clarification.Ninavitu muhimu sana nataka kujua kutoka kwake mkuu narudia ni muhimu sana aisee naomba ushirikiano wako kama hautojali
Sina haja ya kutafuta content zako ila kuna siku ulisema una wazo la biashara konki.Unaliuza kwa 70K na ukipata hiyo hela utaipeleka kwenye project yako huko ambayo hukutaka kuiweka wazi maana watu wangeiba wazo,sijui nakusingizia?Unauhakika na uliachoandika, Copy nilipoandika hivyo then paste hapa.
Nalipa kwa njia ipi sasa?You need to pay 300 U$D for more clarification.
PayPal.Nalipa kwa njia ipi sasa?
Sina haja ya kutafuta content zako ila kuna siku ulisema una wazo la biashara konki.Unaliuza kwa 70K na ukipata hiyo hela utaipeleka kwenye project yako huko ambayo hukutaka kuiweka wazi maana watu wangeiba wazo,sijui nakusingizia?
Sawa utapata tu.Sikupata Boss.
Wewe ni nani hasa JF.duh hivi ni mimi tu ambaye sijauelewa huu uzi au
Unauhakika na uliachoandika, Copy nilipoandika hivyo then paste hapa.
Unaweza nionesha sehemu ya ukanushi kwenye jibu langu ??Uwe na kumbukumbu. Mambo mengi unaandika humu ila ukiulizwa unasahau.