Sure NgorundeMashirika mengi ya ndege huwa yanakodi hizo ndege, sisi tumenunua. Ni mwanzo mzuri punde tutafika huko.
Watu hamna jema. Hivi unajua kuwa hiyo ndege zikianza safari ya kwenda mwanza na ndege ya fastjet zinatofautiana dakika 15 tu kufika mwanza.Unanunua Ndege inayoshindana mwendo na Bajaji then unajisifu mpaka Dunia nzima inajua.
Wazo zuri mkuuMashirika mengi ya ndege huwa yanakodi hizo ndege, sisi tumenunua. Ni mwanzo mzuri punde tutafika huko.
Naomba tuwe wakweli kuhusu huu usafiri japo wengi hautuhusu kwa maana hatupandagi lakini tunayonafasi ya kutia neno
View attachment 408888View attachment 408889View attachment 408890View attachment 408891View attachment 408892View attachment 408893View attachment 408894View attachment 408895View attachment 408896View attachment 408898
Hata mimi sijawahi kupanda mkuu lakini yaliyomo yamoSijawai hata kupanda hapo sina cha kuchangia
Ndo mwanzo ndugu yangu tutafka huko c unajua hatua za ukuaji kw mtoto,kuna kukaa,kutambaa,kucmama then kutembea huku akijfunza kuongea..Unanunua Ndege inayoshindana mwendo na Bajaji then unajisifu mpaka Dunia nzima inajua.