mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Tatizo ni kwamba kwa wakati huo Japan na Ujerumani zilikuwa zinachukiwa sana duniani kwa unyama wa kutisha waliokuwa wanaufanya!! Hadi leo wachina na wakorea hawana hamu na Japan. Kwa hiyo baada ya kipigo hicho cha nyuklia kwa Japan dunia iliona ni sawa tu!! Lakini pia hilo ni bomu jipya na dunia ilikuwa haijui kwa undani wake madhara ya bomu hilo la nyuklia!!Kila nikijaribu kufikiria Raia wasio na hatia waliouawa huko Hiroshima na Nagasaki zaidi ya Raia laki 3 kufa papohapo na wengine mamilion kuathiriwa na mionzi ya yale mabomu mawili ya Hiroshima na Nagasaki huwa najiuliza swali moja tu! Kwanini Duniani haikuiwekea vikwazo Marekani?
Kwanini Dunia hawakuitenga ili Taifa ambalo limeua raia wasio na hatia? Mbona yeye amekuwa kumberekmbere sana kuwawekea vikwazo wenzake ilihali ye anatamba kwa kuua Raia ovyo?
Why Dunia haikumuwekea vikwazo America?