Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Sina hakika lakini kwa mtazamo wangu ni kama unashabikia mauaji anayo yafanya Marekani!? Sijui nipo sahihi!?Tangu hapo Japani ikawa na adabu, sema washalipwa na nchi ipo juu sana kiuchumi. Bado Korea Kaskazini atakipata anachostahili.