Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Dunia ikiwa inatumia mabunge yake kufikiri na kujadili janga hili la gonjwa la Corona, athari zake kiuchumi na tafiti za matibabu yake, hapa kwetu Bunge hili la kuchonga kama kinyago limejikita kujadili kumuongezea Magufuli muda kinyume na katiba.
Kazi za wabunge ni kupeleka sauti ya wananchi bungeni kwa niaba yao, je hawa wabunge wametumwa hilo na wananchi?
Kuna kila dalili kuwa bunge la 12 ni anguko la kishindo la taifa hili.
Kazi za wabunge ni kupeleka sauti ya wananchi bungeni kwa niaba yao, je hawa wabunge wametumwa hilo na wananchi?
Kuna kila dalili kuwa bunge la 12 ni anguko la kishindo la taifa hili.