George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,909
Wati ze faki izi zisi mani!?anga la urusi linaingilika kirahisi watu wanaingia na kutoka kama choo Cha stand
๐๐๐
Wati ze faki izi zisi mani!?anga la urusi linaingilika kirahisi watu wanaingia na kutoka kama choo Cha stand
๐๐๐๐Wacha we, so wanaingia na kutoka kama chooni au sio?
๐๐๐๐Ni kitendo cha dakika kadhaa tu Moscow inategeuzwa kuwa vumbi
Hii takwimu haiwezekani wahusika wakaweka taarifa wanazotaka zijulikane tu na wasizotaka zijuliksne wakazificha ?Alafu jielimishe kuhusu Tsar bombView attachment 2206483
Daaah, huyu ni wewe kweli!?tumuinbe Mungu either Putin achukuliwe na Mungu natural death
Daaaaaah!acha utoto......hakunaga kitu kama hiyo ya kujiangamiza mwenyewe kumbuka Ukraine iko ndani ya Russia
Ndio ninachoeleza hapa bahati mbaya watu wanajadili kwa kuegemea utimu West na Urusi. Lakini mkuu umejadili kwa ku reason asante sana ubarikiwe.
Nimecheka sana hii comment yako Lakini umesahau kututaja kina Masanja hapo,sisi ndiyo tutakuwa kwenye vile vinu vya kurutubisha uranium,tutavisimamiaje ni Mungu pekee ndiyo anajua.Si kiwepesi kama unavyowaza. Wakifutika Asia, Ulaya na USA wote na watu wanaoishi nao wenye ujuzi tukabaki sisi wa kusini mwa jangwa la sahara, hatua ya kwanza ni kurudi dark ages halafu labda tutainuka huko mbeleni tena baada ya karne nyingi.
Just imagine wajaluo, wamasai, wagogo, wasomali, wahaya na makabila mengine ya Africa wameachiwa space satelite, vinu vya nuclear, biological weapons labs etc.
La kwanza kabisa internet itakata dunia nzima, halafu Mjaluo daktari atatibua virusi vya majaribio huko kwenye maabara kitaibuka kirusi ambacho hatujawahi kusikia, wakati tunahangaika na jinsi ya kupata barakoa vinu vya nuclear vitalipuliwa bahati mbaya na anayejiita mtaalam wa gesi puup, tunarudi enzi za ugunduzi wa moto kwa kutumia ulimbo.
Hahahaha. Naomba vizazi vyangu mpaka vya 100 huko vizishuhudie hili likitokeaNimecheka sana hii comment yako Lakini umesahau kututaja kina Masanja hapo,sisi ndiyo tutakuwa kwenye vile vinu vya kurutubisha uranium,tutavisimamiaje ni Mungu pekee ndiyo anajua.
Bado kidogo utasema kuwa USA NI MUNGU WAKO KWENYE VITA VYA NUCLEAR URUSI ATASHINDA MCHANA KWEUPE SHIKA HAYA MANENO YANGU.Usije ukajidanganya kwamba urusi ina power kuliko nchi yoyote mkuu,sahau hilo.
Ogopa sana Us mkuu.
Usijje ukashangaa ana mpaka technolojia ya kuyeyusha mionzi ya nuclear isilete madhara.
Kumbuka Us Aliwahi kutumia nuclea,usidhani alikaa kizembe bila kufanya tafiti yoyote ile ya namna ya kujilimda nayo mkuu.
Vita kamili ya dunia ikianza ujue hata satellite zitalipuliwa na miundo mbinu ya nchi za magharibi kualibiwa kwahiyo siyo kama unavyo fikili weweHuoni mabomu na makombora kila mara yanatua ardhi ya Urusi yakitokea Ukraine?
Sasa kama Ukraine anaweza kushusha makombora kwenye miji ya Urusi itakuwaje NATO wakiisaidia Ukraine nyuklia?
Kitu kinacho takiwa kwa urusi kwa sasa ni kuipatia serikali ya kiduku makombora ya nuke 800 hivi hapo jeuri ya usa itakuwa imekwisha tutasikia kilio tu marekaniEndelea kujidanganyaView attachment 2205843
Wewe ni zuzu hata nato wakitumia mabomu yote waliyo nayo yakaisha watakuwa wameshambulia asilimia ndogo tu ya eneo la urusi ila miji yote wataichakaza kwa kiwa urussi ni kubwa sana nchi ya tz inaingia mara x 20 kwa urussi.....sasa kazi kazi itakuwa kwa nchi za nato nyingi ni ndogo sana na watu wake wamesongamana mijini tena ukumbuke urusi anamiliki NUSU YA MABOMU YOTE YA NUCLEAR DUNIANITaarifa zisizo rasmi zakijasusi nikuwa tayari nato wamesha activate nuclear capability yao at 99% mfumo unaotumika nikwamba ukibonyeza na wewe tunakuBonyezea kiufupi kitendo wanaachia mabomu yao yani maelfu ya mabomu yatashushwa Urusi kiufupi hapatokuwa na Taifa la Urusi ikiwa atajaribu kutumia Nuclear huwo ndio ukweli yani sijuwi itakuwaje ila pia zipo hathari zitatoke kwa zaidi ya miaka kumi ktk uso wa dunia. Kiukweli tusali na tumuinbe Mungu either Putin achukuliwe na Mungu natural death au CIA na agency zingine zadunia wafanikiwe kum neutralise jamaa vita itaisha.
We jamaa wewe.....labda nikuulize umeshawahi kusikia USA anatangaza silaha zake ?hiv unahisi Russia mwenyewe hajui kama USA mtumbaya?....anajua ndio maana kila siku anatishia nuke na hiyo sio deal kwa sababu hata USA na NATO wamejiandaa au wameandaa na wao ma nuke yako....ikiwa Russia atasubutu kurusha basi ujue ndo utakuwa mwisho wa Russia ndio maana hata Russia mwenyewe anaogopa...majuzi rais wa USA amesema wapo tayarkujibu ikiwa Russia itajaribu kurusha...Russia Ukraine kafeli hana jipya ndo maana kila siku anatishia tuUrusi ana nuclear warheads nyingi kuliko NATO nzima pia ana tsar bomb Bomu kubwa kuliko yote duniani yaani bumu linaloweza kuingamiza Marekani yote.kuhusu silaha za mionzi urusi wanazo pia.
Mkuu mimi sina msimamo katikka hii vita bali mimi nina maoni tu,hayo niliyoyasema ni maoni tu.Bado kidogo utasema kuwa USA NI MUNGU WAKO KWENYE VITA VYA NUCLEAR URUSI ATASHINDA MCHANA KWEUPE SHIKA HAYA MANENO YANGU.
kuna series moja inaitwa see kama inaonyesha hiliSi kiwepesi kama unavyowaza. Wakifutika Asia, Ulaya na USA wote na watu wanaoishi nao wenye ujuzi tukabaki sisi wa kusini mwa jangwa la sahara, hatua ya kwanza ni kurudi dark ages halafu labda tutainuka huko mbeleni tena baada ya karne nyingi.
Just imagine wajaluo, wamasai, wagogo, wasomali, wahaya na makabila mengine ya Africa wameachiwa space satelite, vinu vya nuclear, biological weapons labs etc.
La kwanza kabisa internet itakata dunia nzima, halafu Mjaluo daktari atatibua virusi vya majaribio huko kwenye maabara kitaibuka kirusi ambacho hatujawahi kusikia, wakati tunahangaika na jinsi ya kupata barakoa vinu vya nuclear vitalipuliwa bahati mbaya na anayejiita mtaalam wa gesi puup, tunarudi enzi za ugunduzi wa moto kwa kutumia ulimbo.
รh, Siifahamu boss. Sio mtaalam sana wa series au movies.kuna series moja inaitwa see kama inaonyesha hili
mbona yupo mdogo ake Hitler katishia tyr kulitumiaToka dunia iumbwe, kichaa pekee aliyewahi kutumia bomu la nuclear ni US. Na huenda akalitumia tena
akili mnazitoa wap ? km kila kitu mnaiga kwaoHayo mabom ni ya kazi gani Kama hayatumiki? Wao wapigane nayo huko ulaya yote iwe Kama Libya,Mogadishu,au Kama ilivyo Ukraine now,wawe masikini mafukara.kipindi hicho Africa tutakuwa supa power wao tutawaamulia na kuwawekea vikwazo