Dunia hii haina huruma, muhimu ni kwenda kama inavyotaka -- jino kwa jino

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,961
The world is full of evil deeds. Evil pipo, evil plans evil evil evil evil

Ili twende sawa sasa inabid tutembee humo humo tu.

Jali wanaokujal peke yake, usiemjua achana nae

NO1 will save you brother/sister

Nobody cares. Mengi yamejifcha katika mapambano haya ya kusaka maisha bora

Nitoe ushaur tu.

Wekeni mipango yenu vzuri vijana wanahangaika na kuteseka mitaani, huwezi fahamu hayo unless ua there.

Sio machinga pekee ambao policy change inawaathiri na pengne hawajaandaliwa wanapelekwa wapi. Most of them ni graduates waliokosa ajira.

Hata wafanya biashara wengne pia kodi za kubambikwa etc, graduates wakosao ajira. Vipaumbele, hospitali, dawa, mafao, mtu anamaliza muda wake wa ajira hapewi kiinua mgongo hadi abembeleze and many more.

Mateso ni mengi, isifike mahala watu wakaamua liwalo na liwe.

Tuwe makini

Uzi tayari
 
Watu wapo bize kupanga tozo viieite zijazwe mafuta full tank, mishahara na marupurupu yaliyoshiba, dili za pesa ya kujaza sandarusi a.k.a pesa ya mboga, watahangaika wapi na the so called walalahoi?
 
nilimpata demu mmoja hela baada ya mambo yetu mahala fulani nikapata story kachukua zile hela kuzifanyia mambo ili niwe nampa mpunga mara kwa mara hahahaha...

wengine wanachukua nyota za marafiki zao na kutembea nazo wanapiga hela marafiki wanateseka...

Wengine wanawafanya misukule wafanyakazi wenzao ili wao wafanikiwe...

wengine wamegeuza wenzao misukule chuma ulete, unapambana kila siku kutafuta hela ukizipata zinakwenda kwao wewe unabaki punda wao..

Tuwe makini kwenye mabaa na hizi club, unaweza kujikuta wewe ukipata hela lazima uzipeleke tu huko, kuna mabaa na clubs yamegeuza wateja misukule na chuma ulete..

Majumba ya kupanga mengine wenye nyumba wameweka mambo yao, wapangaji wote kazi yenu ni kuwaletea hela wenye majumba nyie maisha yenu hayasogei..

Wake zetu nao wanakwenda kuturoga kwa waganga kila siku either watupande vichwani au watugeuze misukule chuma ulete....huko kwa waganga nako bila kujua nyota za waume zinashikiliwa na kuwekwa rehani na waganga hao hao kwa kazi zao nyingine...

Nakuunga mkono dunia ngumu sana tena sana sio kidogo.....TUMUOMBE MUNGU...
 
nilimpata demu mmoja hela baada ya mambo yetu mahala fulani nikapata story kachukua zile hela kuzifanyia mambo ili niwe nampa mpunga mara kwa mara hahahaha...

wengine wanachukua nyota za marafiki zao na kutembea nazo wanapiga hela marafiki wanateseka...

Wengine wanawafanya misukule wafanyakazi wenzao ili wao wafanikiwe...

wengine wamegeuza wenzao misukule chuma ulete, unapambana kila siku kutafuta hela ukizipata zinakwenda kwao wewe unabaki punda wao..

Tuwe makini kwenye mabaa na hizi club, unaweza kujikuta wewe ukipata hela lazima uzipeleke tu huko, kuna mabaa na clubs yamegeuza wateja misukule na chuma ulete..

Majumba ya kupanga mengine wenye nyumba wameweka mambo yao, wapangaji wote kazi yenu ni kuwaletea hela wenye majumba nyie maisha yenu hayasogei..

Wake zetu nao wanakwenda kuturoga kwa waganga kila siku either watupande vichwani au watugeuze misukule chuma ulete....huko kwa waganga nako bila kujua nyota za waume zinashikiliwa na kuwekwa rehani na waganga hao hao kwa kazi zao nyingine...

Nakuunga mkono dunia ngumu sana tena sana sio kidogo.....TUMUOMBE MUNGU...
Umesahau hawa wa mama wafanyabiashara wanao penda dogodogo.
 
Umesahau hawa wa mama wafanyabiashara wanao penda dogodogo.

sio hivyo tu hata hawa dada zetu wanaopenda hela za watu yapo mengi pia yanawakuta balaa.
Wengi wanatumiwa na kwenye biashara za watu bila wenyewe kujua wakipewa vihela na kununuliwa magari wanaona wamemaliza kumbe ni misukule inayozunguka mjini bila kujijua mwisho uzee unawakuta hawana kitu..maana na zile hela wanazopewa nazo sio zao zinarudi kulekule....dunia ngumu sana hii..
 
sio hivyo tu hata hawa dada zetu wanaopenda hela za watu yapo mengi pia yanawakuta balaa.
Wengi wanatumiwa na kwenye biashara za watu bila wenyewe kujua wakipewa vihela na kununuliwa magari wanaona wamemaliza kumbe ni misukule inayozunguka mjini bila kujijua mwisho uzee unawakuta hawana kitu..maana na zile hela wanazopewa nazo sio zao zinarudi kulekule....dunia ngumu sana hii..
Balaa sana, wapo wale hawaamini ushirikina watakuja kubisha hapa.
 
nilimpata demu mmoja hela baada ya mambo yetu mahala fulani nikapata story kachukua zile hela kuzifanyia mambo ili niwe nampa mpunga mara kwa mara hahahaha...

wengine wanachukua nyota za marafiki zao na kutembea nazo wanapiga hela marafiki wanateseka...

Wengine wanawafanya misukule wafanyakazi wenzao ili wao wafanikiwe...

wengine wamegeuza wenzao misukule chuma ulete, unapambana kila siku kutafuta hela ukizipata zinakwenda kwao wewe unabaki punda wao..

Tuwe makini kwenye mabaa na hizi club, unaweza kujikuta wewe ukipata hela lazima uzipeleke tu huko, kuna mabaa na clubs yamegeuza wateja misukule na chuma ulete..

Majumba ya kupanga mengine wenye nyumba wameweka mambo yao, wapangaji wote kazi yenu ni kuwaletea hela wenye majumba nyie maisha yenu hayasogei..

Wake zetu nao wanakwenda kuturoga kwa waganga kila siku either watupande vichwani au watugeuze misukule chuma ulete....huko kwa waganga nako bila kujua nyota za waume zinashikiliwa na kuwekwa rehani na waganga hao hao kwa kazi zao nyingine...

Nakuunga mkono dunia ngumu sana tena sana sio kidogo.....TUMUOMBE MUNGU...
Na saivi limeibuka gumu zaidi kuwaendea kwa waganga mpate tego la ajali wawe huru au mali
 
The world is full of evil deeds. Evil pipo, evil plans evil evil evil evil

Ili twende sawa sasa inabid tutembee humo humo tu.

Jali wanaokujal peke yake, usiemjua achana nae

NO1 will save you brother/sister

Nobody cares. Mengi yamejifcha katika mapambano haya ya kusaka maisha bora

Nitoe ushaur tu.

Wekeni mipango yenu vzuri vijana wanahangaika na kuteseka mitaani, huwezi fahamu hayo unless ua there.

Sio machinga pekee ambao policy change inawaathiri na pengne hawajaandaliwa wanapelekwa wapi. Most of them ni graduates waliokosa ajira.

Hata wafanya biashara wengne pia kodi za kubambikwa etc, graduates wakosao ajira. Vipaumbele, hospitali, dawa, mafao, mtu anamaliza muda wake wa ajira hapewi kiinua mgongo hadi abembeleze and many more.

Mateso ni mengi, isifike mahala watu wakaamua liwalo na liwe.

Tuwe makini

Uzi tayari
Yule Kaburu Botha alitamka "mwafrika hana uwezo wa kuongoza Jamii ikafanikiwa" sijui kama alikosea.
Matatizo yote hayo shida ni ukosefu wa sera.
Atuwezi kufikiri Ili tutatue changamoto zetu, machinga na vijana thamani yao ni wakati wa uchaguzi pekee so wawe wapole,wasubirie kipindi cha uchaguzi watakula mema ya nchi.
 
The world is full of evil deeds. Evil pipo, evil plans evil evil evil evil

Ili twende sawa sasa inabid tutembee humo humo tu.

Jali wanaokujal peke yake, usiemjua achana nae

NO1 will save you brother/sister

Nobody cares. Mengi yamejifcha katika mapambano haya ya kusaka maisha bora

Nitoe ushaur tu.

Wekeni mipango yenu vzuri vijana wanahangaika na kuteseka mitaani, huwezi fahamu hayo unless ua there.

Sio machinga pekee ambao policy change inawaathiri na pengne hawajaandaliwa wanapelekwa wapi. Most of them ni graduates waliokosa ajira.

Hata wafanya biashara wengne pia kodi za kubambikwa etc, graduates wakosao ajira. Vipaumbele, hospitali, dawa, mafao, mtu anamaliza muda wake wa ajira hapewi kiinua mgongo hadi abembeleze and many more.

Mateso ni mengi, isifike mahala watu wakaamua liwalo na liwe.

Tuwe makini

Uzi tayari
Bora hata umeliona hili. Maana nchi imekua ni ngumu kweli kweli!! Sujui hata huyu Rais wa Burundi anakuja kuja huku kila siku, lengo ni kumshawishi Chifu wetu ili tuhamie haraka nchini mwake!!
 
nilimpata demu mmoja hela baada ya mambo yetu mahala fulani nikapata story kachukua zile hela kuzifanyia mambo ili niwe nampa mpunga mara kwa mara hahahaha...

wengine wanachukua nyota za marafiki zao na kutembea nazo wanapiga hela marafiki wanateseka...

Wengine wanawafanya misukule wafanyakazi wenzao ili wao wafanikiwe...

wengine wamegeuza wenzao misukule chuma ulete, unapambana kila siku kutafuta hela ukizipata zinakwenda kwao wewe unabaki punda wao..

Tuwe makini kwenye mabaa na hizi club, unaweza kujikuta wewe ukipata hela lazima uzipeleke tu huko, kuna mabaa na clubs yamegeuza wateja misukule na chuma ulete..

Majumba ya kupanga mengine wenye nyumba wameweka mambo yao, wapangaji wote kazi yenu ni kuwaletea hela wenye majumba nyie maisha yenu hayasogei..

Wake zetu nao wanakwenda kuturoga kwa waganga kila siku either watupande vichwani au watugeuze misukule chuma ulete....huko kwa waganga nako bila kujua nyota za waume zinashikiliwa na kuwekwa rehani na waganga hao hao kwa kazi zao nyingine...

Nakuunga mkono dunia ngumu sana tena sana sio kidogo.....TUMUOMBE MUNGU...
True nakuunga mkono,ukiwa masikini usipende Sana kwenda kwa waganga watakuibia nyota yako ya mtoto wako au mume/ mke wako wanawauzia matajiri.biashara ya nyota uwapa pesa nyingi Sana waganga,Kama fundi simu anavyochomoa hard disc ya simu au computer na kukuwekea mbovu kisha uiuza kwa wenye pesa ndivyo waganga pia ufanya.
 
Ukipata pa kuupiga unaupiga mwingii kweli, sio unabaki kusema mama anaupiga...
 
The world is full of evil deeds. Evil pipo, evil plans evil evil evil evil

Ili twende sawa sasa inabid tutembee humo humo tu.

Jali wanaokujal peke yake, usiemjua achana nae

NO1 will save you brother/sister

Nobody cares. Mengi yamejifcha katika mapambano haya ya kusaka maisha bora

Nitoe ushaur tu.

Wekeni mipango yenu vzuri vijana wanahangaika na kuteseka mitaani, huwezi fahamu hayo unless ua there.

Sio machinga pekee ambao policy change inawaathiri na pengne hawajaandaliwa wanapelekwa wapi. Most of them ni graduates waliokosa ajira.

Hata wafanya biashara wengne pia kodi za kubambikwa etc, graduates wakosao ajira. Vipaumbele, hospitali, dawa, mafao, mtu anamaliza muda wake wa ajira hapewi kiinua mgongo hadi abembeleze and many more.

Mateso ni mengi, isifike mahala watu wakaamua liwalo na liwe.

Tuwe makini

Uzi tayari
Mimi napenda sana History na kuoanisha mambo.
Kwa mfano, nimefuatilia sana history ya mambo ya dini(Christianity in particular)
nikagundua yafuatayo:
1.) Gharika
Mambo yalizorota sana, ultimately God punished them
2.) The fall of Jerusalem (mwaka was 70)
Mambo yalizorota sana, ultimately God punished them
3.) From 1914 to date, mambo yamezorota sana, what else do we expect? It is obvious, Gods' severe punishment!!
 
Mambo mengine mnatutisha ndugu? Mimi ni mpenzi wa kangalia mpira na hapa napokaa jirani kuna bar na ndo huwa napendelea kwenda kuangalizia. Isije ikawa ndo nshageuzwa chuma ulete wao. Tehteh,! Mmeniogopesha sana.
 
The world is full of evil deeds. Evil pipo, evil plans evil evil evil evil

Ili twende sawa sasa inabid tutembee humo humo tu.

Jali wanaokujal peke yake, usiemjua achana nae

NO1 will save you brother/sister

Nobody cares. Mengi yamejifcha katika mapambano haya ya kusaka maisha bora

Nitoe ushaur tu.

Wekeni mipango yenu vzuri vijana wanahangaika na kuteseka mitaani, huwezi fahamu hayo unless ua there.

Sio machinga pekee ambao policy change inawaathiri na pengne hawajaandaliwa wanapelekwa wapi. Most of them ni graduates waliokosa ajira.

Hata wafanya biashara wengne pia kodi za kubambikwa etc, graduates wakosao ajira. Vipaumbele, hospitali, dawa, mafao, mtu anamaliza muda wake wa ajira hapewi kiinua mgongo hadi abembeleze and many more.

Mateso ni mengi, isifike mahala watu wakaamua liwalo na liwe.

Tuwe makini

Uzi tayari
Hii katuni ya KP ina summarize thread nzima

IMG-20211021-WA0048.jpg
 
Ofisini Yale mambo "unanijua mimi ni nani" yamerudi kwa Kasi. Itabidi umpishe mwenye nguvu.
 
Back
Top Bottom