Duuh serious? Ujue mim nachukulia utani tuu unavotoaga darsa mbali mbali za kichawi kumbe ulipracticeNamshukuru sanaa Mungu wangu nimeachana na hizi mambo lakini kwakweli nimeroga sana
Tufanyeje ili tusirogeke hata lipigwe kombora la namna gani! Ikiwezekana limrudie yy mwenyewe!?Namshukuru sanaa Mungu wangu nimeachana na hizi mambo lakini kwakweli nimeroga sana
mkuu kuna ndugu anafanya uganga, lakini hiyo kazi haipendi nikama vile analazimishwa na hao mnaowaita mababuNamshukuru sanaa Mungu wangu nimeachana na hizi mambo lakini kwakweli nimeroga sana
Mie mwenyewe najuaga utani..duh🙂Duuh serious? Ujue mim nachukulia utani tuu unavotoaga darsa mbali mbali za kichawi kumbe ulipractice
Nimeacha sasa na kilinge nakirithishaDuuh serious? Ujue mim nachukulia utani tuu unavotoaga darsa mbali mbali za kichawi kumbe ulipractice
Fanya makafara mawiliTufanyeje ili tusirogeke hata lipigwe kombora la namna gani! Ikiwezekana limrudie yy mwenyewe!?
Mimi uganga na ulozi wangu ni ule wa free will nimejifunza mwenyewe halafu nikauchakachua na mambo mengine hivyo niliubalance huku na kule haunisumbuimkuu kuna ndugu anafanya uganga, lakini hiyo kazi haipendi nikama vile analazimishwa na hao mnaowaita mababu
aliishaenda kwa mganga mwenzake ili atengue akaambiwa hiyo haiwezekani
wewe ulifannyaje
yeye ni mganga
hakuna uchawi
Damu kubwa ndo ipi?Fanya makafara mawili
1. Kuchanjia muku
2. Kafara la damu kubwa
Aiseeeeee! usiku mkiwa kazini hua mnapata kiu au njaa?Namshukuru sanaa Mungu wangu nimeachana na hizi mambo lakini kwakweli nimeroga sana
Kuanzia ya ng'ombe kupanda juuDamu kubwa ndo ipi?
Hapana kabisa hatuwi kwenye miili halisi labda tupate dhorubaAiseeeeee! usiku mkiwa kazini hua mnapata kiu au njaa?
Na ikitokea hivyo unatafuta maji "halisi" ukiwa huko huko kwenye shughuli za kichawi!?
Nasikia sometimes mnapigwa viboko vya matakoni na malaika, kweli si kweliHapana kabisa hatuwi kwenye miili halisi labda tupate dhoruba
Muku ndiyo nini?Fanya makafara mawili
1. Kuchanjia muku
2. Kafara la damu kubwa
Damu kubwa ndio kafala gani?Fanya makafara mawili
1. Kuchanjia muku
2. Kafara la damu kubwa