Dume la Nyani
Member
- Apr 14, 2011
- 37
- 8
kizuri kula na ndugu yako shekh...sasa huo ni uzalilishaji kwani yy hatoki nje..?wacha wa2 wa socialise ...
Ndo nini
kupotea hivyo mpenzi ??
daahh
sijawahi sikia kabisa
laikini mmmhhhh
Acha watumie kukomoana!Sasa hapo sijui huyo mwenye mke akirudi atamchukua mke wake si la maana hapo ni sawa Na kujiambukiza aibu!!
Ndg zangu,
Sina maelezo ya kisayansi lakini kuna news nimezipata kutoka maeneo ya Kyela namna wanaume wanavyowadhibit wake zao wasitoke nje ya ndoa na kula uroda na wanaume wengine. Eti teknolojia hii inatumika sana kwenye kijiji kimoja kipo karibu na mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira. Wanaume wengi wa kijiji hicho wana visu vyenye ala au mfuniko unaotunza upande wa makali. Inapotokea mume anaondoka kwa safari au matembezi ya kawaida, humwita mkewe na kumwambia ashike kisu upande wa mfuniko kisha yeye huvuta kisu na kukichomoa na kumwachia mkewe ameshika mfuniko. Baada ya hapo, mwanaume humuaga mkewe na kuondoka zake kwenda safari au matembezini. Kinachotokea hapo ni kwamba mke akitoka nje ya ndoa lazima atashikwa. Eti yule 'mdudu' wa mwanaume mwizi atang'ang'ania ndani mpaka mwenye mali aingilie kati ndipo atoke. Eti imefika mahali tabia ya wana ndoa kutoka nje, imekufa kabisa kwani familia zaidi ya tano zilikumbwa na kisa hicho. Jamani wadau mmewahi kuisikia hiyo???