Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,408
- 11,090
Habari wana jf!
Nawaslim kwa jina la JMT lililotukuka.
Nirud katika mada, ndug zangu nmekutana na kastori ka kweli ka ushuhuda kamemkuta kijana mwenzetu hapa mbagala. Aaacha kabisa Yani! Wazee w pwani wamemsulubu kwa adhabu iso kifani. Iko hivi.
Katika harkat zangu y kujichangnya mtaa kwa mtaa kuijua mitaa na vionjo vyake nkaketi kijiwe kimoja hivi.. kijiwe hiki kina salun zile z miaka ileeee ya 'gillete' na 'rungu max' Mara akapita kijana na mwanamke wameingia dukani waktoka na mahitaj wanaongozana 'kibebibebi'. Watu wote hap kijiweni walisikitika mno kila mtu analaum kitendo kile, kwenye kuongea mawili matatu kwa ushuhuda wao kuwa ' Yule jamaa anamega mke wa mtu ambae wanashea mpka ugali mchana na mumew yupo ndani kalala'.
Sadly, mume hajiwez kiuchum, hiyo imekuw sabb kwa jamaa kuinjoi 'taifa lile lililopambika'. Bhas bana waknip n kastor kamoja kwamba;
Kuna mtu mzima "mzee Nyomi" miak ya 2017 alioa kigoli tu, ikawa shida sabb kashkash za 'mkamate mkamatie mkatie' huy mzee haziwez wakat kigol dam changa Yani.
Bhas akatokea kahensam tu kalamba lamba midomo na kupaka mkongo au puturuu kakawa kanasimamia shoo steji ile mpaka kigoli anaomba maji (Nadhani wazee w shoo kazkaz mnanielew). Mzee Nyomi akaskia tetes akaftilia, akagundua ukweli, akamfata kistaarabu Mara kadhaa kijana haelewi, anapita mulemule miksa kuifuja Mali ile na kuiharibia muonekano kabisa kwa jinsi alivyokuw anaifanyia fujo.
Bhas bhana... Watu wanajua, wazee wa pwani kutoka msikiti mmoja wakamfata kumuomba mzee lile jambo lake kwa mkewe awape ruhusa wakashatki kwa mungu. Mzee Nyomi hakuw n hiyana akaruhus wafanye waliyodhani kuwa ni tiba, bhas siku mke w mzee Nyomi na kijana Yule walipokutana asee dhakari(penil) iliposimaa haikushuka mpaka anakufa. Ukoo mzima ulienda kuomba msamaha mzee akunjue akawambia 'si Mimi, wliochukizw zaidi na kitendo kile kuliko mm ndo muwafate' kijana kafa mwaka juzi na dhakari imesimama
....................................................
NB : wazee msioe vijana msiowez kashkash na mwendo kasi walionao, Vijana, kuna mambo hayazuiliki has 'emotion' lakin angalia namna y kupat salama 'sio lazima mke wa mtu umlete geto mtaani humohumo au uzurure nae mitaani. Ikitokea ukaonywa direct na mwenyew jiongeze mzee mbona wanawake kibao tu
YANGU Ni HAYO
Nawaslim kwa jina la JMT lililotukuka.
Nirud katika mada, ndug zangu nmekutana na kastori ka kweli ka ushuhuda kamemkuta kijana mwenzetu hapa mbagala. Aaacha kabisa Yani! Wazee w pwani wamemsulubu kwa adhabu iso kifani. Iko hivi.
Katika harkat zangu y kujichangnya mtaa kwa mtaa kuijua mitaa na vionjo vyake nkaketi kijiwe kimoja hivi.. kijiwe hiki kina salun zile z miaka ileeee ya 'gillete' na 'rungu max' Mara akapita kijana na mwanamke wameingia dukani waktoka na mahitaj wanaongozana 'kibebibebi'. Watu wote hap kijiweni walisikitika mno kila mtu analaum kitendo kile, kwenye kuongea mawili matatu kwa ushuhuda wao kuwa ' Yule jamaa anamega mke wa mtu ambae wanashea mpka ugali mchana na mumew yupo ndani kalala'.
Sadly, mume hajiwez kiuchum, hiyo imekuw sabb kwa jamaa kuinjoi 'taifa lile lililopambika'. Bhas bana waknip n kastor kamoja kwamba;
Kuna mtu mzima "mzee Nyomi" miak ya 2017 alioa kigoli tu, ikawa shida sabb kashkash za 'mkamate mkamatie mkatie' huy mzee haziwez wakat kigol dam changa Yani.
Bhas akatokea kahensam tu kalamba lamba midomo na kupaka mkongo au puturuu kakawa kanasimamia shoo steji ile mpaka kigoli anaomba maji (Nadhani wazee w shoo kazkaz mnanielew). Mzee Nyomi akaskia tetes akaftilia, akagundua ukweli, akamfata kistaarabu Mara kadhaa kijana haelewi, anapita mulemule miksa kuifuja Mali ile na kuiharibia muonekano kabisa kwa jinsi alivyokuw anaifanyia fujo.
Bhas bhana... Watu wanajua, wazee wa pwani kutoka msikiti mmoja wakamfata kumuomba mzee lile jambo lake kwa mkewe awape ruhusa wakashatki kwa mungu. Mzee Nyomi hakuw n hiyana akaruhus wafanye waliyodhani kuwa ni tiba, bhas siku mke w mzee Nyomi na kijana Yule walipokutana asee dhakari(penil) iliposimaa haikushuka mpaka anakufa. Ukoo mzima ulienda kuomba msamaha mzee akunjue akawambia 'si Mimi, wliochukizw zaidi na kitendo kile kuliko mm ndo muwafate' kijana kafa mwaka juzi na dhakari imesimama
....................................................
NB : wazee msioe vijana msiowez kashkash na mwendo kasi walionao, Vijana, kuna mambo hayazuiliki has 'emotion' lakin angalia namna y kupat salama 'sio lazima mke wa mtu umlete geto mtaani humohumo au uzurure nae mitaani. Ikitokea ukaonywa direct na mwenyew jiongeze mzee mbona wanawake kibao tu
YANGU Ni HAYO