Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,430
- 78,596
Hahahaha, Mkuu umeniita?@mtu chake
Hahahaha, Mkuu umeniita?@mtu chake
Huyo mwamba magari anayomiliki hajapishana na ginimbi,bado majumba halafu ndio chibu amdhaminiHakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
Kuna jamaa alisema kwny comments wacongo hawajui kusave pesa wao ni bata tu,kuna jamaa akawa amemjibu hizo ni story tu nenda Lubumbashi,masisi etc ujakionee kufuru za wacongo.Hahahaha, Mkuu umeniita?
Hahahaha ,kwema lkn MkuuKuna jamaa alisema kwny comments wacongo hawajui kusave pesa wao ni bata tu,kuna jamaa akawa amemjibu hizo ni story tu nenda Lubumbashi,masisi etc ujakionee kufuru za wacongo.
Nikawa nimesema ngoja nim-tag mzee baba specialist wa maeneo hayo,hahah.
Bado Bakhresa anawatembeza watu kuuza ukwaju,anawategemea hawa watembea na miguu ndio wamfanikishie biashara zake na vivyo hivyo kwa Koffi na DomoMkuu mbona Wizikid alikuja kufanya show hapa TZ akaletwa na Wcb hiyo haimaanishi Diamond ana mpunga kuliko Wizikid. Sasa kama kamleta Koffi kaja piga show avute mkwanja wake.
Mo na pesa yake yote bado hakatai 500 ya masikini anayenunua maji yake.
Ndiyo ushindwe hata kutumia akili? Wabongo bwana kwa ujinga wa kujitakia, sijuwi watakuwa lini.Aaaah, si unajua tena, tunamuinua juu kijana wetu! Kila upenyo wa KUMPATIA SIFA tunautumia!
Mkuu kwa hapa tu tayari ushafunga mjadalaMkuu mbona Wizikid alikuja kufanya show hapa TZ akaletwa na Wcb hiyo haimaanishi Diamond ana mpunga kuliko Wizikid. Sasa kama kamleta Koffi kaja piga show avute mkwanja wake.
Mo na pesa yake yote bado hakatai 500 ya masikini anayenunua maji yake.
Biashara hiyo, hakuna cha ajabu.Hakika dunia duara leo hii Mopao analetwa nchini na kupewa dili na mwanae? Tuheshimiane tu ndugu zangu dunia SI yetu
Con boi eeeeNani asiye jua wabongo wanapenda kuwa na ego/wanadhani they know better than most people/there's no equal...
Yes ndio mimiCon boi eeee
But this kid muuza sura and you, who is doing better financially?Mopao Mokonzi ni Business Man. Naseeb Abdul ni muuza sura na mpenda misifa. Mopao knows what he is doing..
mwaka 2016 ilisemekana utajiri wa mond ni zaidi ya madafu 10bln,
so hapo hamna hamna mwaka huu hazipungui 30bln.
View attachment 1638156
Mondi ni mtu makiniWabillah Tawfiq Allah 'ahmaq