Duni: Kuandikisha Wapiga Kura Idd ni Kuvunja Katiba!

Katiba imepindishwa na na sheria imekiukwa,basi acha iendelee tumezowea kwa hilo ktk ccm ili kuhakikisha yao yanakwenda,siwezi kubishana na wewe wakati kitu kipo wazi kabisa... wa waendelee kupiga mabomu ile ndo sheria inavosema na katiba inavotaka. Mkuu haya yanauma wewe tuyaaache tu. kila la kheri..

Lakini si na nyinyi mnataka kufanya hilo hilo? Kupindisha katiba ili kujenga hoja yenu? Mnatofauti gani na huyo mnaemlaani? Kwa mwendo hu si nanyi mkishika utamu mtawapiga mabomu wapinzani wenu!

Amandla.....
 
Kila siku CUF wanalalamikia tume ya uchaguzi Zanzibar, hivi wao si ni sehemu ya tume hiyo? mbona wana makamishina kwenye tume hiyo? wanajilaumu wenyewe ama ni maigizo kwa wazanzibar?

Kila siku viongozi wa CUF wanalia juu ya ZEC sasa mbona hawawaambii makamishina wao wakajiuzulu?

ZEC inapaswa kuwa polical party neutral, Ila kwa kuwa watendaji wa ZEC ni wakereketwa basi wanafanya hivyo kwa niaba ya chama chao.

Ukiangalia lengo hasa hapa si kuandikisha watu, bali kutumia muda huo ili baadae waje watangaze takwimu zao kuwa siku ya Idd waliandikisha watu wengi sana.

Huu uchaguzi wa Zanzibar ni " VOID AB INISHO"
 
Kwa hiyo Katiba inasema MARUFUKU kufanya SHUGHULI za kiserikali siku ya mapumziko? Tuonyesheni basi wapi inaposema hivyo! Mbona polisi wanafanyakazi siku za mapumziko. Mbona wanajeshi wanakuwa kazini siku za mapumziko. Mbona hospitali za serikali hazifungwi siku za mapumziko? Mbona bandari zinafanya kazi siku za mapumziko. Mbona zimamoto wako kazini siku za mapumziko? Mbona wakunga wanazalisha siku za mapumziko? Mbona vivuko vinafanya kazi siku za mapumziko? Unataka niendelee?

Acheni uongo. Na unafik.


Amandla......

Kweli wewe ni Fundi Mchundo. sasa mambo haya ya kihandisi mno uyawezi. Jiulize mbona huko Bara hamfanyi kazi siku za Jumapili na jumamosi?
 
Kweli wewe ni Fundi Mchundo. sasa mambo haya ya kihandisi mno uyawezi. Jiulize mbona huko Bara hamfanyi kazi siku za Jumapili na jumamosi?

Kweli wewe ni Hafif(u). Alikwambia nani kuwa bara hospitali, polisi, viwanja vya ndege, bandari, mahoteli, zimamoto zinafungwa siku ya jumapili na jumamosi? Umesikia wapi kuwa kufanya kazi siku ya mapumziko imekuwa kosa la jinai? Siku zote uandikishaji wa wananchi ( sensa n.k.) kunafanyika siku za mapumziko kwa sababu siku hizo ndiyo kuna uhakika zaidi wa kuwapata wengi wao. Leo mnataka kugeuza eti kuna 'hidden agenda'! kama nilivyosema awali, upuuzi mtupu.

Amandla.......
 
Kweli wewe ni Hafif(u). Alikwambia nani kuwa bara hospitali, polisi, viwanja vya ndege, bandari, mahoteli, zimamoto zinafungwa siku ya jumapili na jumamosi? Umesikia wapi kuwa kufanya kazi siku ya mapumziko imekuwa kosa la jinai? Siku zote uandikishaji wa wananchi ( sensa n.k.) kunafanyika siku za mapumziko kwa sababu siku hizo ndiyo kuna uhakika zaidi wa kuwapata wengi wao. Leo mnataka kugeuza eti kuna 'hidden agenda'! kama nilivyosema awali, upuuzi mtupu.
Tofautisha kazi za huduma (service work)na kazi za kiofisi (Office work). Kazi za huduma huwa hazina ijumamosi wala ijumaapili wala sikukuu.

kazi za ofisini zinakuwa na mapumpumziko ya ijumaamosi na ijumaapili. kazi za Service zinakuwa na mapumziko ya mmoja mmoja na inaweza kuwa siku zozote.

Labda nikuulize mbona waalimu na wanafunzi ijumaamosi na ijumaapili wanapumzika?

Achana na ubishi wa kizembe. nimeshabainisha kuwa Kufanya hivi ni kosa kisheria.
 
Tofautisha kazi za huduma (service work)na kazi za kiofisi (Office work). Kazi za huduma huwa hazina ijumamosi wala ijumaapili wala sikukuu.

kazi za ofisini zinakuwa na mapumpumziko ya ijumaamosi na ijumaapili. kazi za Service zinakuwa na mapumziko ya mmoja mmoja na inaweza kuwa siku zozote.

Labda nikuulize mbona waalimu na wanafunzi ijumaamosi na ijumaapili wanapumzika?

Achana na ubishi wa kizembe. nimeshabainisha kuwa Kufanya hivi ni kosa kisheria.

Umebainisha wapi kuwa ni kuvunja sheria? Ile nukuu yako ya jumla ndiyo unasema umebainisha? Na bado unajihesabu msomi?

Hakuna mahali ambapo mfanyakazi wa serikali anakatazwa kufanya kazi siku ya mapumziko. Kinachokatazwa ni kumfanyisha kazi kwa ujira ule ule. Naona haujawahi kufanya hata hiyo kazi ya kiofisi unayoizungumzia. Tembelea ofisi za serikali inapokaribia mwisho wa mwaka wa kifedha! Serikali imeweka muda wa mtu kufanya kazi lakini mbona hata bungeni kuna wakati wanaendelea hadi usiku? Nao utasema wanavunja sheria kwa sababu usiku ni wakati wa kupumzika?

Hata huko mashuleni. Inapobidi shule zinafunguliwa siku ya jumamosi na hata jumapili. Mbona hatujasikia mtu akifungwa kwa kufanya hivyo!

Usitake kutudanganya hapa na usomi wa kwenye internet. Hatujaenda shule lakini si punguani kama pengine unavyodhani.

Amandla...........
 
Kuongezea tu. Tulikuwa tunafanya kazi nusu siku jumamosi. Lini katiba ilibadilishwa kusema kuwa jumamosi ni siku ya mapumziko? Mwinyi aliwahi kuanzisha mpango wa kufidia sikukuu. Lini katiba ilibadilishwa kuruhusu hiyo na kubadilishwa ilipobatilishwa? tumeongeza siku ya Nyerere katika siku za kupumzika. Lini katiba ilibadilishwa kuzungumzia hilo? Katiba ya nchi haiwezi kupanga muda wa mwananchi kupumzika bali inampa haki ya kupumzika. Sheria za nchi ndizo zinazopanga muda wa kupumzika na stahili za wafanyakazi watakaofanya kazi siku ambazo kisheria ni za kupumzika! Sheria inatafsiri katiba na sio katiba.

Amandla.......
 
Hivi Rais anapokuwa ziarani huko nchi za nje siku za mapumziko na sikukuu naye anavunja Katiba au Katiba inavunjwa tu kwa kufungua vituo vya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi ambapo hata hivyo hakuna aliyelazimishwa kujitokeza kujiandikisha? Wanasiasa wa siku hizi kweli wameishiwa!
 
Kila siku CUF wanalalamikia tume ya uchaguzi Zanzibar, hivi wao si ni sehemu ya tume hiyo? mbona wana makamishina kwenye tume hiyo? wanajilaumu wenyewe ama ni maigizo kwa wazanzibar?

Kila siku viongozi wa CUF wanalia juu ya ZEC sasa mbona hawawaambii makamishina wao wakajiuzulu?

Haya makubwa leo ,unataka kunambia wanachama wa CCM wastahamili hali ya maisha na mwenedo wa nchi nzima unavyoendeshwa kwa sababu wenye kuongoza nchi ni viongozi wa chama chao waliowachanguwa kuongoza nchi na wananchi??
 
Ukifulia kisiasa kubaya sana! Hakuna cha sera wala nini, ni technicalities ndogondogo za kutaka kuingilia Ikulu!
 
Kuongezea tu. Tulikuwa tunafanya kazi nusu siku jumamosi. Lini katiba ilibadilishwa kusema kuwa jumamosi ni siku ya mapumziko? Mwinyi aliwahi kuanzisha mpango wa kufidia sikukuu. Lini katiba ilibadilishwa kuruhusu hiyo na kubadilishwa ilipobatilishwa? tumeongeza siku ya Nyerere katika siku za kupumzika. Lini katiba ilibadilishwa kuzungumzia hilo? Katiba ya nchi haiwezi kupanga muda wa mwananchi kupumzika bali inampa haki ya kupumzika. Sheria za nchi ndizo zinazopanga muda wa kupumzika na stahili za wafanyakazi watakaofanya kazi siku ambazo kisheria ni za kupumzika! Sheria inatafsiri katiba na sio katiba.

Nieleze ni siku gani mbazo kisheria ni siku za kupumzika? kama ulivoeleza hapo kwenye andiko lako.
kama ulivyokuwa unauliza toka juu. Je ni sheria gani iliyotoa uhalali wa siku hizo kuzifanya za mapumziko?
 
Kuongezea tu. Tulikuwa tunafanya kazi nusu siku jumamosi. Lini katiba ilibadilishwa kusema kuwa jumamosi ni siku ya mapumziko? Mwinyi aliwahi kuanzisha mpango wa kufidia sikukuu. Lini katiba ilibadilishwa kuruhusu hiyo na kubadilishwa ilipobatilishwa? tumeongeza siku ya Nyerere katika siku za kupumzika. Lini katiba ilibadilishwa kuzungumzia hilo? Katiba ya nchi haiwezi kupanga muda wa mwananchi kupumzika bali inampa haki ya kupumzika. Sheria za nchi ndizo zinazopanga muda wa kupumzika na stahili za wafanyakazi watakaofanya kazi siku ambazo kisheria ni za kupumzika! Sheria inatafsiri katiba na sio katiba.

Amandla.......
Christmas karibu inakuja tutaomba uandikishaji uendelee.
 
Kisheria na kwa sheria zenu huko Tanzania, Siku zote za mapumziko ikiwa pamoja na Ijumaamosi na Ijumaapili na siku zote za Sikukuu za kidini zinazotambuliwa na mamlaka ya nchi ikiwa pamoja na Sikukuu za Kiserikali ziliorodheshwa zote na Serikali na kuzipeleka kwenye Bunge hapo Mwaka 1977 kaama muswada wa siku za mapumziko. Wabunge waliridhia na kuzipitisha na kisha akapelekewa rais ambaye naye alisaini muswada huo na kuwa Sheria.

Kwa kuwa imeshakuwa sheria basi huwezi kujadili kwanini ofisi za Serikali zinafungwa siku za Ijumaamosi au Ijumaapili au siku za public holiday.

NI KOsa kubwa sana kisheria kufanya any transaction au hata kusaini mkataba siku za mapumziko. kani an govt transaction signed on bublic holiday inakuwa batili kwa mujibu wa sheria za Tanzania.
 
Kama ingekuwa Mzee Aboud jumbe hakuvinganisha ASP mwaka 1977 tusenge fikia hali hii leo,1977 ni mwaka wa hudhuni kubwa katika jamii za kizanzibar itabakia kuwa Historia ndani ya vitabu na nyoyo zetu.
 
yaani umeufanya moyo wangu kuingiwa na huzuzni hafla baada ya kukumbusha hayo,lkn lenye mwanzo halikosi miwsho,ipo siku itakuwa kweli Mkuu...
 
Kweli wewe ni Hafif(u). Alikwambia nani kuwa bara hospitali, polisi, viwanja vya ndege, bandari, mahoteli, zimamoto zinafungwa siku ya jumapili na jumamosi? Umesikia wapi kuwa kufanya kazi siku ya mapumziko imekuwa kosa la jinai? Siku zote uandikishaji wa wananchi ( sensa n.k.) kunafanyika siku za mapumziko kwa sababu siku hizo ndiyo kuna uhakika zaidi wa kuwapata wengi wao. Leo mnataka kugeuza eti kuna 'hidden agenda'! kama nilivyosema awali, upuuzi mtupu.

Amandla.......
Mkubwa, Huyo Hafif tatizo lake ni kuwa vituo vimefunguliwa ndani ya sikukuu ya kiislam, kama kawaida yao kulalamika... SIJUI INGEKUWAJE KAMA CHAGUZI ZOTE ZINGEFANYIKA IJUMAA.
 
Back
Top Bottom