T Truth Matters JF-Expert Member Apr 12, 2013 1,611 2,598 Nov 5, 2013 #1 Hivi ni kweli kuna hawa washikaji wanapata mfadhaiko kwenye halaiki kama vile daladala! Au ni story za vijiweni? kuna mtu amewahi shuhudia hili?
Hivi ni kweli kuna hawa washikaji wanapata mfadhaiko kwenye halaiki kama vile daladala! Au ni story za vijiweni? kuna mtu amewahi shuhudia hili?
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Nov 6, 2013 #2 sijui kwa sasa kama bado wapo ila mwaka 1999 nilikuwa nikiwashuhudia sana pale ilipojengwa shule ya sekondari city/benjamin mkapa. Nalog off
sijui kwa sasa kama bado wapo ila mwaka 1999 nilikuwa nikiwashuhudia sana pale ilipojengwa shule ya sekondari city/benjamin mkapa. Nalog off
Sista JF-Expert Member Sep 29, 2013 3,206 1,029 Nov 7, 2013 #3 Wapo bado huku wanajulikana kama 'babu toa'