uringe lol
Mbona mtoa mada hajathibitisha upunga wake au alitaka kumzushia?
Dully Sykes ndio yupi? yule aliyeimba oyoyo oyoyo? nawafananisha!
Kama Dully anajiona ni Handsome basi ngoja amuone Mbwa wetu pale nyumbani. Tunafuga Mbwa anaitwa Juma ni German Shepperd.
huyu Mpakanjia tu ndo alimuweza....nasikia walimpaka mlenda!
Katika hali ya kushangaza
mh duly sykes ametangazwa anasumbuliwa sana sana na anajuta kwa nini amezaliwa handsome
kwa kuwa ajaamini kinachoendelea...duly sykes amesema amekuwa akisumbuliwa sana sana
kila mara hata leo amepigiwa na wanawake zaidi ya sita wakimtaka...lakini anasema anaomba jamani
ameacha ile michezo anaomba aheshimiwe uhuru wake n a hivi sasa ameamua kujiondoa kabisa
facebook ...m nashangaa sana sana wanawake wa sikuhizi bana kila mtu anaangalia handsome
hajui yukoje
kazi kweli kweli
hahahahahahaha ila inataka moyo aiseee....siyo suala la kusikia hii inshu ilikuwa kweli!ni kwasababu binadamu wasahaulifu tu huyu dogo alikuwa siyo wa kutaka sifa tena kwa kitendo alichofanyiwa miaka ile!wale mabandidu hawakupaka utelezi walipitisha na ugumu wake kunako kunyavu!.....siku anapumuliwa kisogoni nilikuwa sinza na kina MOX!call ikamuendea Gadna watu kuweka uthibitisho!ukitaka kujua hili suala linamuuma siku akizingua mwambie ntakufanyia kama walivyokufanyia kina mpakanjia!....dully ataruka kote kwangu havimbi cuz anajua hii inshu nna uhakika nayo!
muuza sura umenikumbusha mbali
nakumbuka sie tulikuwa pale B-BAR tukatumiwa sms kila mteja tulikuwa washkaji tukaanza kuulizana jamani fully mmh
ukweli anaujua mkapanjia
ila Dully na misifa ile halafu nikamfumaniaga anapopiga mbavu Tabata baada yakutimuliwa yeye na mamake kwa bibi pale Ilala nilichoka na nikajiambia mwanangu akinambia anataka kuwa muuza sura bongo ntamfungulia genge la mkaa aisee...linalipa hasaaa!kipindi kile kiukweli dully alikuwa anasumbua sana ndo maana hata lile tukio lilisambaa sana kwa muda mfupi!haya maneno anayojisifia leo ni kupanic tu kwani dully wa kipindi kile si dully huyu ambaye amemezwa na wakali wapya!