Duka La Vifaa Vya Mapenzi

Ipole

JF-Expert Member
Apr 15, 2008
294
10
Nilisoma gazeti moja la udaku likielezea kwamba kuna duka limefunguliwa maeneo ya Posta jijini Dar es salaam .Na kwamba duka hilo linajushughulisha na kuuza bidhaa za kisasa zinazotumika wakati wa kufanya mapenzi ikiwemo mipira ya kiume poda maalumu ambayo akina mama wanapaka na huwaongezea raha wakati wa kufanya mapenzi.

Sasa mimi nilipokuwa hapo dar nimejaribu kulitafuta hilo duka sikuweza kulipata sijui hilo gazeti la udaku lilikuwa halisemi kweli lengo langu ilikuwa nipate uhakika ili niwape taarifa kamili wana JF waweze kujua mambo yanayondelea katika jiji lao. Kama kuna mwana JF anayejua eneo lilpo duka hilo basi atueleze.
 
Ipole sana tu unataka kununua na wewe pia, baada ya kuzunguka sana na kulikosa hilo duka ndo unasema kuwa ulikuwa unataka kuhakikisha. me naona ni bora uwaulize hao wenye hilo gazeti la udaku ndo watakuambia lipo sehemu gani.
 
wanasheria wana JF naomba ushauri,hivi ukifungua duka la sex toys ni kosa la jinai hata kama huuzi pornographic material kama books na videos bali uuze vitu vingine kama condoms special,dildos etc ?
 
Ipole sana tu unataka kununua na wewe pia, baada ya kuzunguka sana na kulikosa hilo duka ndo unasema kuwa ulikuwa unataka kuhakikisha. me naona ni bora uwaulize hao wenye hilo gazeti la udaku ndo watakuambia lipo sehemu gani.
Hapana siyo kwamba mimi nilitaka kununua lah hasha naona umenielewa vibaya lengo langu lilikuwa kwanza kupata uahakika lakini kuelewa kinachoendlea huko kwetu maana kama ningukuwa na hitaji hivyo vifaa hapa nilipo vipo vingi tu.
 
Sexy Shop? Hii Hiii, mie ntafungua Sikonge na kuwa wa kwanza kwa haya maswala. Najiuliza tu kama wana PEEP SHOW, maana ntakuwa kama Changu Doa na kuchuna visenti za vijana wee!!! Watakuja kuwa Busy kama ile clip ya Jermnain Dupri na Janet Jackson ya wimbo "Gotta Getcha". Kitakachokosekana ni Prof. Emolo pale Mlangoni.
 
Hapana siyo kwamba mimi nilitaka kununua lah hasha naona umenielewa vibaya lengo langu lilikuwa kwanza kupata uahakika lakini kuelewa kinachoendlea huko kwetu maana kama ningukuwa na hitaji hivyo vifaa hapa nilipo vipo vingi tu.
Kwani kama ulitaka kununua kunatatizo gani?
Hamna shida mkuu,endelea kulitafuta.
 
Nilisoma gazeti moja la udaku likielezea kwamba kuna duka limefunguliwa maeneo ya Posta jijini Dar es salaam .Na kwamba duka hilo linajushughulisha na kuuza bidhaa za kisasa zinazotumika wakati wa kufanya mapenzi ikiwemo mipira ya kiume poda maalumu ambayo akina mama wanapaka na huwaongezea raha wakati wa kufanya mapenzi.

Sasa mimi nilipokuwa hapo dar nimejaribu kulitafuta hilo duka sikuweza kulipata sijui hilo gazeti la udaku lilikuwa halisemi kweli lengo langu ilikuwa nipate uhakika ili niwape taarifa kamili wana JF waweze kujua mambo yanayondelea katika jiji lao. Kama kuna mwana JF anayejua eneo lilpo duka hilo basi atueleze.
....Umeshasema ni gazeti la udaku...achana na huo uchafu hakuna kitu hapo....
 
Sexy Shop? Hii Hiii, mie ntafungua Sikonge na kuwa wa kwanza kwa haya maswala. Najiuliza tu kama wana PEEP SHOW, maana ntakuwa kama Changu Doa na kuchuna visenti za vijana wee!!! Watakuja kuwa Busy kama ile clip ya Jermnain Dupri na Janet Jackson ya wimbo "Gotta Getcha". Kitakachokosekana ni Prof. Emolo pale Mlangoni.
Fungua tu wa kukaya lakini take care si unajua watu wa huko
 
Sexy Shop? Hii Hiii, mie ntafungua Sikonge na kuwa wa kwanza kwa haya maswala. Najiuliza tu kama wana PEEP SHOW, maana ntakuwa kama Changu Doa na kuchuna visenti za vijana wee!!! Watakuja kuwa Busy kama ile clip ya Jermnain Dupri na Janet Jackson ya wimbo "Gotta Getcha". Kitakachokosekana ni Prof. Emolo pale Mlangoni.
Wa kukaya vipi mbona umekuwa kimya hujanijibu au ndiyo uko kwenye pilikapilika za kufungua hilo duka teh teh teh
 
Wa kukaya vipi mbona umekuwa kimya hujanijibu au ndiyo uko kwenye pilikapilika za kufungua hilo duka teh teh teh
....Mh!!! Ninavyowajua watu wa sikonge kwa kupenda vitu asilia sijui kama atapata wateja....
 
wanasheria wana JF naomba ushauri,hivi ukifungua duka la sex toys ni kosa la jinai hata kama huuzi pornographic material kama books na videos bali uuze vitu vingine kama condoms special,dildos etc ?

...mimi najionea maruweruwe...

miaka mingi tu nimejionea chachandu na 'mkuyati mkaluti msimika mwinula' unauzwa wazi wazi mitaa ya kariakoo, na hao 'madokta' wa kizigua na kimassai wala hawaoni taabu kukuelimisha hadharani matumizi yake.
 
Mchongoma kilchotakiwa ni hivyo vifaa vya kisasa vipo hapo kwetu dar
 
....Mh!!! Ninavyowajua watu wa sikonge kwa kupenda vitu asilia sijui kama atapata wateja....
Kwani we kipanga umerudi lini huko maana watu sasa wanaendelea Sikonge siyo ile ya miaka 90
 
Nilisoma gazeti moja la udaku likielezea kwamba kuna duka limefunguliwa maeneo ya Posta jijini Dar es salaam .Na kwamba duka hilo linajushughulisha na kuuza bidhaa za kisasa zinazotumika wakati wa kufanya mapenzi ikiwemo mipira ya kiume poda maalumu ambayo akina mama wanapaka na huwaongezea raha wakati wa kufanya mapenzi.

Sasa mimi nilipokuwa hapo dar nimejaribu kulitafuta hilo duka sikuweza kulipata sijui hilo gazeti la udaku lilikuwa halisemi kweli lengo langu ilikuwa nipate uhakika ili niwape taarifa kamili wana JF waweze kujua mambo yanayondelea katika jiji lao. Kama kuna mwana JF anayejua eneo lilpo duka hilo basi atueleze.
Doh hii noma
Aha ahaha
Karibu nimeshusha stori mpya
Ukifungua link shuka chin utaiona Story: Money Penny ni nani lakini?!
 
wanasheria wana JF naomba ushauri,hivi ukifungua duka la sex toys ni kosa la jinai hata kama huuzi pornographic material kama books na videos bali uuze vitu vingine kama condoms special,dildos etc ?
Unafungwaaa
Wamefungwa wanaohamasisha usagaji mwaka jana itakuwa sex toys

Usijaribuuu hat airport dildo hazipitiii labda uzivaee

Karibu nimeshusha stori mpya
Ukifungua link shuka chin utaiona Story: Money Penny ni nani lakini?!
 
Kwa sababu umesoma gazeti la udaku, move this thread kwenye utani na udaku.

Sexy Shop? Hii Hiii, mie ntafungua Sikonge na kuwa wa kwanza kwa haya maswala. Najiuliza tu kama wana PEEP SHOW, maana ntakuwa kama Changu Doa na kuchuna visenti za vijana wee!!! Watakuja kuwa Busy kama ile clip ya Jermnain Dupri na Janet Jackson ya wimbo "Gotta Getcha". Kitakachokosekana ni Prof. Emolo pale Mlangoni.

Kwani kama ulitaka kununua kunatatizo gani?
Hamna shida mkuu,endelea kulitafuta.

....Mh!!! Ninavyowajua watu wa sikonge kwa kupenda vitu asilia sijui kama atapata wateja....

...mimi najionea maruweruwe...

miaka mingi tu nimejionea chachandu na 'mkuyati mkaluti msimika mwinula' unauzwa wazi wazi mitaa ya kariakoo, na hao 'madokta' wa kizigua na kimassai wala hawaoni taabu kukuelimisha hadharani matumizi yake.
wana jf hivi mi naona ni dhambi kuuza au kumiliki sex toys!!

Mbona hamsemi hizo sex toys zinakopatokana Dar? Mmebaki mnalumbana tu majibu hamtoi

Mbona hamsemi hizo sex toys zinakopatokana Dar? Mmebaki mnalumbana tu majibu hamtoi

Karibu nimeshusha stori mpya
Ukifungua link shuka chin utaiona Story: Money Penny ni nani lakini?!
 
Back
Top Bottom