mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Ona tangazo la biashara kwenye duka la mchaga:
KARIBU KWA MANGI UJIPATIE:
1.Sukari,mayai,baiskeli
2.kanga,pilau,walikuku
3.sambusa,tairi za trekta
4.madaftari na bia aina zote
5.petroli,matunda,nazi
6.vitumbua,mitumba grade one
7.supu ya utumbo,mabati,vocha
8.mtego wa panya,pembejeo
9.makabati ya nguo,kompyuta
10.juisi na mbogamboga
11.mahindi ya kuchoma,bajaji,simenti
12.leso,vyumba vya wageni na vyuma chakavu
KARIBUNI!!!!!!!
TRA MPO?
KARIBU KWA MANGI UJIPATIE:
1.Sukari,mayai,baiskeli
2.kanga,pilau,walikuku
3.sambusa,tairi za trekta
4.madaftari na bia aina zote
5.petroli,matunda,nazi
6.vitumbua,mitumba grade one
7.supu ya utumbo,mabati,vocha
8.mtego wa panya,pembejeo
9.makabati ya nguo,kompyuta
10.juisi na mbogamboga
11.mahindi ya kuchoma,bajaji,simenti
12.leso,vyumba vya wageni na vyuma chakavu
KARIBUNI!!!!!!!
TRA MPO?