Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,896
- 25,941
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Soma kichwa cha habar vizur ili twende sawa
Sitak maneno meng wazee ngoja nisonge nayo tu
Sikumbuk tarehe lakin ilikuwa ni jumapili jion mda wa saa 12 kamili pale bibi aliponambia twende tukatembee
Tulitoka kweli kuelekea mtoni lakin baada ya kufika mton bibi alibadilika sana na kunambia nahitaji kuwa jasiri maeneo haya, sikuelewa anamanisha nikamuuliza bibi una manisha nini? Akanambia naomba uwe jasiri maeneo haya mwanangu
Alinipaka dawa zake machon ghafula pale palibadilika nikaanza kuona watu wengine kabisa wachafu wachafu wasiooga na wenye nywele ndefu
Alinitembeza maeneo mengi sana
Alinitembeza had kwenye duka la maiti ambapo tulikuta mait weng sana ambao washaga kufa
Kwenye duka la mait tulikuta watu wengi sana wakimusubili bibi maana yeye ndo alikuwa mtunza funguo za pale dukan
Watu hao walikuwa ni wateja wa kununua maiti ili wakafanyie mambo yao wanayo yajua wao
Kuna wengine walikuwa wanataka maiti ile wachukue viungo vya mait kuna mwingine anataka macho mwingine makalio kuna mwingine anataka kikwapa mwingine anataka kichwa kulingana na matumiz yake mwenyewe
Wengine walikuwa wanachukua mait mzima mzima
Bei za mait zinatofautiana kulingana na mait yenyewe
Maiti ya mtoto mdogo ndo inabei zaid hasa huyo mtoto akiwa wa kike
Mait za wanawake hazina bei sana kama za wanaume
Bibi alitoa yaan aliuza mait kama 7 then akafunga tukarud home
Nilishangaa sana aisee
Kwahiyo bas ujue kila kitu ni mali na kila kitu kina kaz yake ndugu yang
LONDON BABY
Soma kichwa cha habar vizur ili twende sawa
Sitak maneno meng wazee ngoja nisonge nayo tu
Sikumbuk tarehe lakin ilikuwa ni jumapili jion mda wa saa 12 kamili pale bibi aliponambia twende tukatembee
Tulitoka kweli kuelekea mtoni lakin baada ya kufika mton bibi alibadilika sana na kunambia nahitaji kuwa jasiri maeneo haya, sikuelewa anamanisha nikamuuliza bibi una manisha nini? Akanambia naomba uwe jasiri maeneo haya mwanangu
Alinipaka dawa zake machon ghafula pale palibadilika nikaanza kuona watu wengine kabisa wachafu wachafu wasiooga na wenye nywele ndefu
Alinitembeza maeneo mengi sana
Alinitembeza had kwenye duka la maiti ambapo tulikuta mait weng sana ambao washaga kufa
Kwenye duka la mait tulikuta watu wengi sana wakimusubili bibi maana yeye ndo alikuwa mtunza funguo za pale dukan
Watu hao walikuwa ni wateja wa kununua maiti ili wakafanyie mambo yao wanayo yajua wao
Kuna wengine walikuwa wanataka maiti ile wachukue viungo vya mait kuna mwingine anataka macho mwingine makalio kuna mwingine anataka kikwapa mwingine anataka kichwa kulingana na matumiz yake mwenyewe
Wengine walikuwa wanachukua mait mzima mzima
Bei za mait zinatofautiana kulingana na mait yenyewe
Maiti ya mtoto mdogo ndo inabei zaid hasa huyo mtoto akiwa wa kike
Mait za wanawake hazina bei sana kama za wanaume
Bibi alitoa yaan aliuza mait kama 7 then akafunga tukarud home
Nilishangaa sana aisee
Kwahiyo bas ujue kila kitu ni mali na kila kitu kina kaz yake ndugu yang
LONDON BABY