70k kwa mwez??Wakuu Kuna mtu anataka niende moshi vijijini nikachunge ng’ombe.. Nimemwambia nitampa jibu Kesho.. Hata kama nimesoma lakini mshahara huu sidhani kama unakidhi
Akabebe wapiii...mambo sio rahisi izo sehemu unafikiri zipo tu ukiamua nikabebe eti uzipate.Mkuu bora ukabebe nzege kwa mwez 1, utapata mtaj mzr wa biashara, msomi kuchunga ng'ombe daah haimake sense kabisa
Akabebe wapiii...mambo sio rahisi izo sehemu unafikiri zipo tu ukiamua nikabebe eti uzipate.
Duh kazi nimekataa mkuuMkuu bora ukabebe nzege kwa mwez 1, utapata mtaj mzr wa biashara, msomi kuchunga ng'ombe daah haimake sense kabisa
Mshahara mkuu Siwezi endaNenda kapambane boss
Mkuu niungishe mimi hilo dili
Nimeshindwa mkuuLabda ulitaka akupe ngapi ?, Ana mifugo mingapi na anazalisha ngapi na hio 70 ni percent ngapi ya mapato.., lazima uangalie na uzalishaji.., kazi unayofanya izalishe cha ziada ili wewe ulipwe kama unaona ndogo mshauri muingie partnership uzalishe nyingi zaidi ili mgawane
Kwanza huo ni wizi na Siwezi wiziShida ya kujijini kila mtu anafuga kupata mteja ni ngumu
Lengo la uzi ni nini?Mshahara mkuu Siwezi enda
Nimeshindwa mkuu siendi pesa ndogoUkichunga utakuwa unakunywa maziwa unakamua malishoni ila mshahara mdogo
mwenzio namlipa 20elfuWakuu Kuna mtu anataka niende moshi vijijini nikachunge ng’ombe.. Nimemwambia nitampa jibu Kesho.. Hata kama nimesoma lakini mshahara huu sidhani kama unakidhi
njoo pm swit hatLengo la uzi ni nini?
Kwa sababu wewe ni Kibabu chenye pesa ndefu nitakujanjoo pm swit hat
Kwa sababu wewe ni Kibabu chenye pesa ndefu nitakuja
Am kaminginjoo ufaid mema ya nchi
Mkuu tupeane koneksheni
Mi napenda sana maziwa nitakua nanyonya kabisa pale ....
Ila mi najiulizaga sana hivi Fala aliyegundua n'gome anatoa maziwa alikua anafanya nini kwa matiti ya moooo