Duh nimepata ajira ya kuchunga ng’ombe mshahara elf 70

Labda ulitaka akupe ngapi ?, Ana mifugo mingapi na anazalisha ngapi na hio 70 ni percent ngapi ya mapato.., lazima uangalie na uzalishaji.., kazi unayofanya izalishe cha ziada ili wewe ulipwe kama unaona ndogo mshauri muingie partnership uzalishe nyingi zaidi ili mgawane
Nimeshindwa mkuu
 
Back
Top Bottom