Duh msala nimempa mwanafunzi mimba

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Jamani huu ni msala ambao nimeingia yaani ninajuta.Kweli huyu binti nilimpenda saana mpaka tumefanya ngono kama wk tatu zimepita,jana kaja nakuniambia ana mimba na kweli mimba anayo lkn binti huyu ni mwanafunzi jamani naomba msaada nifanye je.
 
Jipeleke mwenye lupango, wakati unamla uroda ulikuja kuomba msaada hapa JF? umeshamuharibia Masomo yake sasa ndio unakuja kuomba msaada JF. Kaombe msaada Polisi, Hapa wala hatutokuunga mkono wa kumkatishia Masomo huyo Binti. Hebu fikiria ndio ingekuwa dada yako ndio kafanyiwa hivyo halafu wewe ndio ungelikuwa unamlipia Skul fizi, ungejisikiaje? Ndio umempenda lakini sikuna mipira kwanini usitumie? Mijitu mingine Bwana sijui ikoje umeshamuharibia Maisha huyo Binti. Daaaaah kama ingekuwa Dada yangu au yangu umempa hiyo mimba basi ningekufundisha adabu ningekukataa kwa mara ya pili au kwanza:embarassed2: Ukome kukatisha Masomo dada zetu
 
Lol...hii nimeipenda kama basi atapewa hiyo nafasi ya kuchagua.. In short amelikoroga hivyo itambidi alinywe tu.

Wakati anapewa miadi ya kwenda kuzini alikuwa ana log off JF bila hata kutuaga...kapanda,kapalilia na sasa muda wa mavuno anatuita,haki hii?
 
Duh! mimba ya week 3? Ok mi napita tu ila nipo karibu na Gereza Moja Maarufu sana ni Pm ili ktk ile miaka 30 nikuletea ata sabun.i
 
Ungekuwa unamaanisha hilo uliloliandika nadhani usingekuwa na hata muda wa kuja kuongeza post hapa,ndio maana umetupia katika jokes,asante imetufurahisha kama ndio lilikuwa lengo lako.
 
Kabla sijakusaidia,huyo denti ni wa chekechea,msingi,sekondari ama chuo?
 
Anza kuchat na mahakimu wa wilaya uliyopo wakupunguzie miaka, angalau upigwe mvua 25.
 
ni ajabu sana kama unaweza gawa mimba kirahisi hivyo! vipi umemgawia aina ngapi ya magonjwa yako ya zinaa?
 
sio wanataniana, wezake wakati wanazungusha sahani la kusaka hela ili waoe yeye anakandamiza vitoto.. sasa hata wewe unadhani ushauri gani utampatia..

mtoa mada hayupo serious naona watu wanatema cheche na hasira kibao.
 
Back
Top Bottom