Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact ni kwamba kwenye gold export tumelamba $2B
Ila we jamaa una akili finyu, mauzo yanayoongelewa hapo ni cash crops mzee, hakuna mahindi hapo, ni vitu kama cotton, sisal, coffee, tea, tumbaku na vitu kama hivyo...Sio data zangu, soma uelewe....
Mapato ya mauzo ya ukulima yameshuka 55%, sasa ukizingatia kipindi hicho sisi ndio tumenunua sana, ina maana kama tungefuata Zambia na kuwaacha nyie, hayo mauzo yangeshuka 95%
Bila ya sisi mtateseka sana licha ya kuwa na nchi kubwa yenye rotuba kila sehemu maana hamjui ujanja wa biashara, kazi kupiga piga kifua huku mkiogelea kwenye umaskini.
Mlitucheka tulipofuata soko Uchina, mauzo yetu kwennda Uchina yameongezeka 74% ndan ya miezi michache, akili kubwa sio pumba.
Unaelewa nachokuuliza? Au bc kama huelewi ngoja nifanye kama mtoto Mdogo. Swali la kwanza ninyi mumenunua mazao gani kutoka Tz? . kama mumenunua mahindi ndio maana nikakuuliza hayo mauzo yameshuka kutokana na mazao ya mahindi?. Na ukitaka kujua mahindi yanazuiwa kuuzwa nje na ndio maana Kenya wakiuziwa mahindi na TZ inakuwa sawa tumewasaidia hata kama wametoa Pesa sababu sio Sera ya TZ kuuza mazao ya chakula nje .sasa sikuelewi unavyohusisha kushuka kwa Pesa ya mazao na mahindi tu naona unapigia upatu jambo usilolijuaSio data zangu, soma uelewe....
Mapato ya mauzo ya ukulima yameshuka 55%, sasa ukizingatia kipindi hicho sisi ndio tumenunua sana, ina maana kama tungefuata Zambia na kuwaacha nyie, hayo mauzo yangeshuka 95%
Bila ya sisi mtateseka sana licha ya kuwa na nchi kubwa yenye rotuba kila sehemu maana hamjui ujanja wa biashara, kazi kupiga piga kifua huku mkiogelea kwenye umaskini.
Mlitucheka tulipofuata soko Uchina, mauzo yetu kwennda Uchina yameongezeka 74% ndan ya miezi michache, akili kubwa sio pumba.
Fungua link utapata source, twitter ni platform tuSouce..twitter
that's what i told some Kalenjin guy , he was so madMaize ni ukuliwa wa maskini,no value
Don't expect kupata more cash from it...
100acres za maize ni sawa na 1acre ya macadamia...
Upuuzi tu
Fact ni kwamba kwenye gold export tumelamba $2B
Social media bana 😂😂😂 una login unaita watu masikini wa kutupwa alafu una log out unachemsha zako mananga, sukuma, terere zisizo na chumvi wala mafuta kisha unakula, asee 😂😂😂
Afadhali ya masikini wa Tanzania anajimudu mara kibao.
Kabisa, kwenye utalii mambo yanazidi kunoga, pamoja na vitisho vyote hivyo lakini bado watalii wanamiminika Tanzania, juzi PM kapokea batch ya watalii wengine zaidi ya 1000 tena kutoka nafikiri IsraelYaani na utalii ita-cross $3bln ndo maana wanaanzisha propaganda za ebola!
Tanzanians have some loopsided view of the world, what govt says to them is always correct.Ndio utamu wa social media, kila mtu ana uhuru wa kusema ukweli kama ulivyo, maana Watanzania hamjazoea kuambiwa kama ilivyo, lakini huku hakuna anayejali hisia zenu, mnaambiwa tu, mlivyo maskini licha ya raslimali zote hizo.
Korosho zote zimeuzwa na tayari serikali imetia 700M USD kibindoni tayari kwa maandalizi ya msimu huu ulioanza mwezi huu ambayo mavuno yake ni ya kufa mtu
Tunategemea kupata USD 1B kwenye mauzo ya msimu huu
Wakulima walishaiuzia serikali korosho zao zote so wa kutoa taarifa kama zimeuzwa au bado zipo kwenye maghala ni mkulima au serikali?Twitter zinakuwa Ni habari zenu za kupika Tena Ni Serikali na hamna comment hata moja ya mkulima kuweka usahihi wa uongo wenu.
Ukweli upi huo wa heading kutofautiana na habari,Ndio utamu wa social media, kila mtu ana uhuru wa kusema ukweli kama ulivyo, maana Watanzania hamjazoea kuambiwa kama ilivyo, lakini huku hakuna anayejali hisia zenu, mnaambiwa tu, mlivyo maskini licha ya raslimali zote hizo.
Ukweli upi huo wa heading kutofautiana na habari,
Wewe ni mjinga mnoo.
We mbu mbu mbu muabudu kingereza,Wapi zimetofautiana, tatizo lenu kingereza huwapa changamoto sana.
Uuzaji wa mazao ya kilimo kwenu umepungua asilimia 55% yaani kwa mwaka 2019 mumeuza nje $508.8 million kutoka $1.129 billion za hapo awali, hii imechangiwa na vurugu zenu kwenye korosho.
Hizi ni takwimu za mauzo ya kilimo chote bila kuchagua aina gani ya mazao, hivyo kama mumedondoka vyote hivyo ukizingatia Kenya walinunua sana kutoka kwenu, ina maana tungeelekeza pua kwengine kama vile Zambia mngeteseka sana.
Najua napiga ngitaa ambayo hauna uwezo wa kuelewa wala kufahamu kinachozungumzwa kuhusu, ndivyo mlivyo watu wa mapambio.
Alisikika mnuka mafii mmoja kutoka kiberaUnatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.
Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Wewe ni mjinga sijui kama unalifahamu hilo,Katafute mtu akutafsirie nini maana ya 'Agricultural exports'.