Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 19,160
- 15,428
Go back to schoolR u trying to mean u r consumer of our cashews?
Go back to schoolR u trying to mean u r consumer of our cashews?
Tumewasaidieni sababu msingenunua mngekufa njaa.Hawa majirani zetu huwa vigumu kuwaelewa, hututambia humu kwamba wanatusaidia kila wakituuzia mahindi, ilhali tunanunua kwa hela zetu, sasa imebainika sisi ndio wakombozi wao maana mauzo yao ya mazao ya ukulima yameshuka asilimia 55%, ina maana tusingenunua hayo mahindi yangeozea huko na kuzidisha hali yao kuwa ngumu.
-----------------------
Tanzania's agriculture exports fall by 55 percent year-on-year in August 2019 to just $508.8 million from $1.129 billion previously largely due to a decline in cashew nuts exports, the country's main cash crop -- central bank data
Tanzanian Business's tweet - "Tanzania's agriculture exports fall by 55 percent year-on-year in August 2019 to just $508.8 million from $1.129 billion previously largely due to a decline in cashew nuts exports, the country's main cash crop -- central bank data " - Trendsmap
Detailed Tweet Analytics for Tanzanian Business's tweet - taarifa, kwa, uchumi, kama, hiziwww.trendsmap.com
Wacha kiherehere sio were nimeuliza ama Basi ujibu Hilo la Koroshow 😭😭Sasa tujue korosho au mahindi mbona hamueleweki
Korosho zote zimeuzwa na tayari serikali imetia 700M USD kibindoni tayari kwa maandalizi ya msimu huu ulioanza mwezi huu ambayo mavuno yake ni ya kufa mtuKoroshow 😂😂😂 redeemer wakulima walilipwa? JWTZ wanabangua Koroshow bado?
Korosho zote zimeuzwa na tayari serikali imetia 700M USD kibindoni tayari kwa maandalizi ya msimu huu ulioanza mwezi huu ambayo mavuno yake ni ya kufa mtu
Tunategemea kupata USD 1B kwenye mauzo ya msimu huu
Hahaha eti order?Propaganda hzo...hzo order ziko wapi
Kwahiyo hayo mapato umeambiwa yamepungua kutoka kwenye mahindi kwamujibu wa hiyo data yako?Hizi blah blah kawaimbie MaCCM wenzio, ila mahesabu yako wazi, mapato ya ukulima yameshuka hadi $508.8 million kutoka $1.129 billion
Kwa nchi maskini kama nyie sio poa, mjifikirie na kujitafakari
Kwahiyo hayo mapato umeambiwa yamepungua kutoka kwenye mahindi kwamujibu wa hiyo data yako?
Kwa hilo hapana msipo nunua nyie kuna wenzenu wenye njaa south Sudan tutawauzia hata hivyo nyie mna njaa lazima mnunue maana sijaona jitihada za serikali ya Kenya kukabiliana na lindi la umaskini ulio topea kwa sababu ya mazingira yenye ukame.Unatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.
Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Kwa hilo hapana msipo nunua nyie kuna wenzenu wenye njaa south Sudan tutawauzia hata hivyo nyie mna njaa lazima mnunue maana sijaona jitihada za serikali ya Kenya kukabiliana na lindi la umaskini ulio topea kwa sababu ya mazingira yenye ukame.
Kenya ni ujanja ujanja tu lakini mmeshindwa hata kuwa na miundombinu ya umwagiliaji (irrigation scheme) ndio ingewasaidia.
Hahaha eti order?
Unafikiri korosho ni kama njugumawe?
Korosho ni green gold, ile ni magnetic ukiwa nayo tu lazima utafutwe, ndio maana hata hapo Kenya huwezi kuta korosho inauzwa kwa walalahoi!
Mshishangae jamii ya Kariuki hii! Ukiskia Mathenge, Mwangi, Kamau etc ujue walewale kuvishwa pete gloryhole!Achana nae mjinga mmoja huyo
Ulishaona wapi korosho imedoda?Naona umeleta maneno badala ya facts
Social media bana 😂😂😂 una login unaita watu masikini wa kutupwa alafu una log out unachemsha zako mananga, sukuma, terere zisizo na chumvi wala mafuta kisha unakula, asee 😂😂😂South Sudan ni maskini wa kutupwa kama nyie, mnategemea sana shilingi yetu sisi matajiri, hamna soko la maana kwenu kama sisi.
Mahindi huwa tunanunua hadi kutoka Brazil maana hela tunazo, sasa mauzo yenu yameshuka 55% na hapo sisi tulinunua sana kutoka kwenu, tungewaacha mngeteseka sana nyie.
Unatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.
Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Mshishangae jamii ya Kariuki hii! Ukiskia Mathenge, Mwangi, Kamau etc ujue walewale kuvishwa pete glory hole!
Hawezi ona hili
Fact ni kwamba kwenye gold export tumelamba $2BNaona umeleta maneno badala ya facts
Ulishaona wapi korosho imedoda?
Duniani kote wanajua Tanzania kuna korosho, zitauzwa kama zilivyokua zikiuzwa miaka yote zaidi ya 60 Tanzania ilivyokua ikilima korosho
Korosho zikishakusanywa kwenye cooperative societies utaona meli zinavyofukuzana baharini kuziwahi korosho zetu