Duh! Licha ya Tz kutuuzia mahindi mengi, ila uuzaji wa mazao ya kilimo nje ya nchi umeshuka 55%

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,746
48,385
Hawa majirani zetu huwa vigumu kuwaelewa, hututambia humu kwamba wanatusaidia kila wakituuzia mahindi, ilhali tunanunua kwa hela zetu, sasa imebainika sisi ndio wakombozi wao maana mauzo yao ya mazao ya ukulima yameshuka asilimia 55%, ina maana tusingenunua hayo mahindi yangeozea huko na kuzidisha hali yao kuwa ngumu.
-----------------------

Tanzania's agriculture exports fall by 55 percent year-on-year in August 2019 to just $508.8 million from $1.129 billion previously largely due to a decline in cashew nuts exports, the country's main cash crop -- central bank data
 
Hahaha mahindi yanayouzwa Kenya yanatoka Kilimanjaro, Arusha na Manyara tu yaani yakitoka mbali sana ni Kibaigwa Dodoma, mikoa Mingine kama Rukwa, Katavi, Songwe mchele wao na mahindi ni DRC, Zambia, Burundi, Rwanda

Morogoro, Ruvuma, Mbeya wao huuza Mozambique, Malawi, Zimbabwe mpaka South Africa hasa mchele na mahindi, nenda Kilosa na Tunduma uone mafuriko ya gari za Zimbabwe zikisomba mazao kule

Hiyo mikoa mingine iliyobaki ndio hulisha nchi

Kwa hivyo msijidanganye kwamba Tanzania inawategemea ninyi kwenye kuuza nafaka zake, mnafeli sana mkiwa mnafikiri hivyo
 
Screenshot_2019-10-10-16-27-41.png
 
Hawa majirani zetu huwa vigumu kuwaelewa, hututambia humu kwamba wanatusaidia kila wakituuzia mahindi, ilhali tunanunua kwa hela zetu, sasa imebainika sisi ndio wakombozi wao maana mauzo yao ya mazao ya ukulima yameshuka asilimia 55%, ina maana tusingenunua hayo mahindi yangeozea huko na kuzidisha hali yao kuwa ngumu.
-----------------------

Tanzania's agriculture exports fall by 55 percent year-on-year in August 2019 to just $508.8 million from $1.129 billion previously largely due to a decline in cashew nuts exports, the country's main cash crop -- central bank data
R u trying to mean u r consumer of our cashews?
 
Hahaha mahindi yanayouzwa Kenya yanatoka Kilimanjaro, Arusha na Manyara tu yaani yakitoka mbali sana ni Kibaigwa Dodoma, mikoa Mingine kama Rukwa, Katavi, Songwe mchele wao na mahindi ni DRC, Zambia, Burundi, Rwanda

Morogoro, Ruvuma, Mbeya wao huuza Mozambique, Malawi, Zimbabwe mpaka South Africa hasa mchele na mahindi, nenda Kilosa na Tunduma uone mafuriko ya gari za Zimbabwe zikisomba mazao kule

Hiyo mikoa mingine iliyobaki ndio hulisha nchi

Kwa hivyo msijidanganye kwamba Tanzania inawategemea ninyi kwenye kuuza nafaka zake, mnafeli sana mkiwa mnafikiri hivyo
Anatumia makwapa kufikiria huyo 😂😂😂
 
Hawa majirani zetu huwa vigumu kuwaelewa, hututambia humu kwamba wanatusaidia kila wakituuzia mahindi, ilhali tunanunua kwa hela zetu, sasa imebainika sisi ndio wakombozi wao maana mauzo yao ya mazao ya ukulima yameshuka asilimia 55%, ina maana tusingenunua hayo mahindi yangeozea huko na kuzidisha hali yao kuwa ngumu.
-----------------------

Tanzania's agriculture exports fall by 55 percent year-on-year in August 2019 to just $508.8 million from $1.129 billion previously largely due to a decline in cashew nuts exports, the country's main cash crop -- central bank data
Pole sana

 
Anatumia makwapa kufikiria huyo 😂😂😂
Hahaha huyu anafikiri akifika Arusha, Dar kaimaliza Tanzania nzima wakati katika hiyo mikoa hata haipo kwenye ramani ya mikoa inayozalisha chakula kwa wingi, mikoa inayozalisha chakula kwa wingi ipo Magharibi na Nyanda za juu Kusini mwa nchi ambao hata ukiwauliza Kenya ipo wapi hawajui 😂

 
Hahaha huyu anafikiri akifika Arusha, Dar kaimaliza Tanzania nzima wakati katika hiyo mikoa hata haipo kwenye ramani ya mikoa inayozalisha chakula kwa wingi, mikoa inayozalisha chakula kwa wingi ipo Magharibi na Nyanda za juu Kusini mwa nchi ambao hata ukiwauliza Kenya ipo wapi hawajui 😂



Unatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.

Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
 
Hahaha huyu anafikiri akifika Arusha, Dar kaimaliza Tanzania nzima wakati katika hiyo mikoa hata haipo kwenye ramani ya mikoa inayozalisha chakula kwa wingi, mikoa inayozalisha chakula kwa wingi ipo Magharibi na Nyanda za juu Kusini mwa nchi ambao hata ukiwauliza Kenya ipo wapi hawajui 😂


Achana nae mjinga mmoja huyo
 
Unatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.

Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Hahaha hujielewi, surplus Tanzania inayozalisha you don't have enough money to afford even a quarter.
 
Unatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.

Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Hata kama isingeuza nje hata kilo 1 bado kungekua hakuna madhara yeyote unadhani kama Kenya isingenunua kungekua na hali ngumu sababu eti TZ ijauza mahindi nje hata kidogo!. Tatizo watu wanashindwa kuelewa kila nchi na Sera zake kuhusu mauzo nje ya nchi na pia Sera za TZ inazuia kuuza mazao ya chakula nje ndio maana nasema hata tusingeuza hata ile kilo bc kusingekua na madhara maana ndio Sera yetu
 
Uchumi wa TZ hautegemei mauzo ya chakula nje ya nchi sasa mukidai tusingewauzia Kenya tungelia na kusaga meno ni sawa na kupiga kerere tu zisizo na maana wakenya walipaswa kuchunguza kwanza je TZ uchumi wake unategemea mauzo ya chakula nje ya nchi ? ,harafu ndio wangeleta huu uzi
 
Hahaha hujielewi, surplus Tanzania inayozalisha you don't have enough money to afford even a quarter.

Wewe ndiye huelewi taarifa, tatizo vijana wa Lumumba hampewi elimu ya basics in business, ukiambiwa mapato yameshuka asilimia 55% inaonekana kama elimu ya roketi kwako.
 
Hata kama isingeuza nje hata kilo 1 bado kungekua hakuna madhara yeyote unadhani kama Kenya isingenunua kungekua na hali ngumu sababu eti TZ ijauza mahindi nje hata kidogo!. Tatizo watu wanashindwa kuelewa kila nchi na Sera zake kuhusu mauzo nje ya nchi na pia Sera za TZ inazuia kuuza mazao ya chakula nje ndio maana nasema hata tusingeuza hata ile kilo bc kusingekua na madhara maana ndio Sera yetu

Hizi blah blah kawaimbie MaCCM wenzio, ila mahesabu yako wazi, mapato ya ukulima yameshuka hadi $508.8 million kutoka $1.129 billion
Kwa nchi maskini kama nyie sio poa, mjifikirie na kujitafakari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom