Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,806
- 15,379
Inaelekea saa tano za usiku sasa, Daladala sizioni, na simu ya mama Ngina haipatikani…………!
Haya mambo ya kwenda shamba jioni ndio madhara yake, ngoja nitafute Guest mapema nipate kujistiri. Nitajieleza kesho kwa mama Ngina.
Wana JF naomba muwe mashahidi wangu kesho nikipata kibano.
Haya mambo ya kwenda shamba jioni ndio madhara yake, ngoja nitafute Guest mapema nipate kujistiri. Nitajieleza kesho kwa mama Ngina.
Wana JF naomba muwe mashahidi wangu kesho nikipata kibano.