Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Kuna jamaa kutoka Zambia alikuja kuhudhuria harusi ya rafiki yake wa kufa na kuzikana mtoto wa Jaji Mark Bomani, Clement Bomani, amekufa baada ya kupiga mitungi ya nguvu pale kwenye ukumbi wa Mlimani City. Ingawaje kuna taarifa kuwa jamaa alilamba sana na 'unga' wa mhogo lakini polisi wanasema ni Whiskey tu kwani wamekuta chupa hiyo na glass nne juu ya meza! For more information open the sources below!
Sources: Daily News | The leading Online news edition in Tanzania and HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
Sources: Daily News | The leading Online news edition in Tanzania and HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
| |