Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mh huo sasa uchokozi
Nimeona,sema tungeweka picha zetu wote humu jf ungegundua pengine ye ni nafuu..umeona hapo kifuani?
uweke picha yako hapa kwani wewe ni nani? huyu mwenzako ni celebriti..role mode ya jamii upende usipende na ndio maana tunamuweka hapa .
yani nape ni role model wako?yani umetafutaaa weee umekosa kabisaa role model yaan ukagota kwa nape?
sio role mode wangu ..soma vizuri usikurupuke....kuna sehemu nimeandika wangu hapo? unatumia masaburi nini
Umeandka role model wa jamii sasa we ndo unaisemea jamii?Unatumia kigezo gani?
Anyways ni maoni yako lakini mi nadhani huyo si role model
ok tufnye sio role mode ..simfagilii hata hivyo
Tuseme ni public figure basi kama hafit kuwa role model..
Kanenepa kwelikweli umagamba unalipa inaonyesha.
Dah! JF kibokouweke picha yako hapa kwani wewe ni nani? huyu mwenzako ni celebriti..role mode ya jamii upende usipende na ndio maana tunamuweka hapa .
Dah! JF kiboko
Umeandka role model wa jamii sasa we ndo unaisemea jamii?Unatumia kigezo gani?
Anyways ni maoni yako lakini mi nadhani huyo si role model
Mbona kama hapo mbele kwenye bailojia yake kumetuna, amesisimka na hao ladies around nini?