GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Yaani nimefanya karibu setting zote ambazo nimeambiwa ni muhimu lakini wapi!!!!
Ajabu ni kule kwenye statistics Upload inakuwa kubwa lakini huku kwenye download
ni 0.30 kbs ikipanda sana inafika 4kbs, nikiweka salio kwenye modem eti na yenyewe
inajifanya kupanda na kunipa maelezo kuwa kwa watumiaji wa Tanzania natakiwa
kuunganisha na VPN hata nikiunganisha bado balaa liko palepale yaani salio langu likiisha
tu hamna kitu.
Dah, nasikitika fedha zangu zimeenda bure hii huduma imekataa kabisa kwangu nashindwa
kujua tatizo ni nini.
Naomba msaada kwenu wataalam kwani hii huduma inagoma kabisa huku kwangu.
Aione Paje.
Ajabu ni kule kwenye statistics Upload inakuwa kubwa lakini huku kwenye download
ni 0.30 kbs ikipanda sana inafika 4kbs, nikiweka salio kwenye modem eti na yenyewe
inajifanya kupanda na kunipa maelezo kuwa kwa watumiaji wa Tanzania natakiwa
kuunganisha na VPN hata nikiunganisha bado balaa liko palepale yaani salio langu likiisha
tu hamna kitu.
Dah, nasikitika fedha zangu zimeenda bure hii huduma imekataa kabisa kwangu nashindwa
kujua tatizo ni nini.
Naomba msaada kwenu wataalam kwani hii huduma inagoma kabisa huku kwangu.
Aione Paje.