Ni ile post yako ya jinsi ya kuengenza virus? Kama wameifuta inaonyesha hii jamii forum imekaa kisiasa zaidi. Mtu kutaka kujua au kjifufunza mbinu anazotumia mwizi haina maana yeye ni mwizi.
Ila na wewe Mla mbavu msaniii umejifanya umecode mwenyewe wakati nimeona code kama hiyo ya mwaka 2007.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.