Huyu Magufuli alikuwa sana anti-science. Yaani anaamini sana mambo ya kupiga ramli. Mara anaambia watu wajifukize maana hakuna corona. Mara anaenda kwa mzee wa Loliondo kupata kikombe. Haamini sayansi ila eti yeye ni mwanasayansi na eti alikuwa na PhD ya chemistry.Mzee alifaulu kuteka parefu, akaaminika mpaka na wakuu kwenye ngazi zote
Huyu Magufuli alikuwa sana anti-science. Yaani anaamini sana mambo ya kupiga ramli. Mara anaambia watu wajifukize maana hakuna corona. Mara anaenda kwa mzee wa Loliondo kupata kikombe. Haamini sayansi ila eti yeye ni mwanasayansi na eti alikuwa na PhD ya chemistry.
Huyu Magufuli alikuwa sana anti-science. Yaani anaamini sana mambo ya kupiga ramli. Mara anaambia watu wajifukize maana hakuna corona. Mara anaenda kwa mzee wa Loliondo kupata kikombe. Haamini sayansi ila eti yeye ni mwanasayansi na eti alikuwa na PhD ya chemistry.
Mbona Wachina covid ilipoingia kwao hawakukimbia kuchuna na kutumia majani ya shamba kama nyinyi mnavyofanya? Wachina walitengeneza vaccine yao wenyewe na kuitumia. Usiingize Wachina kwa uchawi wenu.Do not forget that, hiyo ndiyo jadi yetu. Na kuikana siyo jawabu. Jawabu ni kuiboresha iwe kwenye health protocol compliance.
Siku zote nitasimama na waChina. Wanaenzi vitu vyao na kuvifanya viwe bora.
Mbona Wachina covid ilipoingia kwao hawakukimbia kuchuna na kutumia majani ya shamba kama nyinyi mnavyofanya? Wachina walitengeneza vaccine yao wenyewe na kuitumia. Usiingize Wachina kwa uchawi wenu.
Sikatai. Najua wapo kwenye herbal lakini pia wapo kwenye modern medicine pia. Wao sio wajinga wa kujifanya kwamba vaccine au modern medicine ni kitu kibaya. Wao hata wame-export 1 billion vaccines to other countries. Nyinyi tu ndio mna ujinga wa kujifanya kwamba vaccine ni mbaya, Wachina hawana ujinga huo.Wewe unawafahamu waChina kwa sehemu ndogo sana. Lkn kwenye mabingwa wa herbal duniani nao wamo.
Wana bhangi kali piya,wadanganyika wakiivuta tu ndiye basii,the wont stop there mota muse.Wewe unawafahamu waChina kwa sehemu ndogo sana. Lkn kwenye mabingwa wa herbal duniani nao wamo.
Sikatai. Najua wapo kwenye herbal lakini pia wapo kwenye modern medicine pia. Wao sio wajinga wa kujifanya kwamba vaccine au modern medicine ni kitu kibaya. Wao hata wame-export 1 billion vaccines to other countries. Nyinyi tu ndio mnajifanya kwamba vaccine ni mbaya, Wachina hawana ujinga huo.
Hizo nchi za Marekani, Urusi , Uingereza na Uchina zote zimetengeneza vaccines zao na zaidi ya 50% ya wananchi wao wamechanjwa vaccine. Nyinyi endeleeni kuchuna majani shambani kama Neanderthal man na kuzitumia kama dawa.Wee sema una visa na sisi. Sijui ni wivu 🤣🤣🤣!!!???
Duniani koote chanjo inapata upinzani mkubwa sana. Hadi marekani, rais wao ameamuru serikali za majimbo kuwahonga watu $100 ili wakachanje.
Hizo nchi za Marekani, Urusi , Uingereza na Uchina zote zimetengeneza vaccines zao na zaidi ya 50% ya wananchi wao wamechanjwa vaccine. Nyinyi endeleeni kuchuna majani shambani kama Neanderthal man na kuzitumia kama dawa.
Waafrika tuna shida sana, sijui nani alituroga. Hii picha inahuzunisha sana.Heheehe eti Neanderthal.... nimecheka sana