Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Yaani ata ufanye nini hatoi na anaweza ata kukuambia sikupi ata unifanye nini.Wengi wetu ambao tumejaribu kumwendea kusudi tuweze kumaliza au kutatua matatizo yetu anatutolea out.
Yaani mimi mwenyewe ameshanikatalia mara kibao yaani ata nikiwa naitaji siwezi kumwendea kwani ametamkia mara kibao kwamba anipi kabisa.
Sijui kitu gani kinamfanya hasitoe kabisa inafika mtu unataka lakini basi unaacha kwenda kumuomba ruhusa mkuu wetu kazini kwa msimamo wake wa kutotoa ruhusa.
Yaani mimi mwenyewe ameshanikatalia mara kibao yaani ata nikiwa naitaji siwezi kumwendea kwani ametamkia mara kibao kwamba anipi kabisa.
Sijui kitu gani kinamfanya hasitoe kabisa inafika mtu unataka lakini basi unaacha kwenda kumuomba ruhusa mkuu wetu kazini kwa msimamo wake wa kutotoa ruhusa.