Duh Ata ufanyeje hatoi na hakupi

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Yaani ata ufanye nini hatoi na anaweza ata kukuambia sikupi ata unifanye nini.Wengi wetu ambao tumejaribu kumwendea kusudi tuweze kumaliza au kutatua matatizo yetu anatutolea out.
Yaani mimi mwenyewe ameshanikatalia mara kibao yaani ata nikiwa naitaji siwezi kumwendea kwani ametamkia mara kibao kwamba anipi kabisa.
Sijui kitu gani kinamfanya hasitoe kabisa inafika mtu unataka lakini basi unaacha kwenda kumuomba ruhusa mkuu wetu kazini kwa msimamo wake wa kutotoa ruhusa.
 
Yec....! Watz tumezidi mara 'ooh naenda ngoman' 'oooh! Jiran yetu kafiwa na mtoto wa shangaz yake! Aaah! Uvivu na utoro kazin, kila siku sababu za uongo kaz haziendi. Jaman eeeh...! Ebu tuchapen mzigo!
 
Unatumia kidole kimoja,inakiingiza taratibu,ukiona kidole kipoja hakitoshi unatumia vidole viwili halafu inaingiza pole pole huku ukisugua,hii ndo njia sahihi ya kusafaisha glasi
 
Unatumia kidole kimoja,inakiingiza taratibu,ukiona kidole kipoja hakitoshi unatumia vidole viwili halafu inaingiza pole pole huku ukisugua,hii ndo njia sahihi ya kusafaisha glasi
hii nimeipeda
 
Mi si nikajua hatoi mambo yetu yaleee,nikawa najisemea si mnipe na mimi nafasi nimuombe!
 
ukitaka kujua utamu wake inabidi ukatiwe halafu uchokonolewe, hapo ndo utajua utamu wa dafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom