Mazingira yalikuwa Ni mtu au chama kimoja kufanya shughuli za kisiasa kwa Uhuru, huku vyama vingine vikikatazwa kufanya siasa Hadi uchaguzi mwingine utakapowaidia. Cha kushangaza bado CCM imepata changamoto Sana kwenye kufanya kampuni za kuwanadi wagombea wao na pia Wana wasiwasi ya kupoteza majimbo mengi. Itoshe kusema Tanzania ina upinzani imara ambao Ni vigumu kuumaliza.