Dudubaya na majigambo yake bila unafiki

LUBEDE

JF-Expert Member
May 7, 2013
4,312
6,638
Nilikuwa nafuatilia interview ya dudubaya kwenye kipindi cha mkasi s09e09 dudubaya kanifurahisha sana jamaa,hakika huyu ni stress free zone,yupo free sana kuelezea hisia zake huyu jamaa,hakika binafsi nimekuwa mshabiki wako wa damu,hauna unafiki kabisa DUDU...safi sana mkuu.
 
Nilikuwa nafuatilia interview ya dudubaya kwenye kipindi cha mkasi s09e09 dudubaya kanifurahisha sana jamaa,hakika huyu ni stress free zone,yupo free sana kuelezea hisia zake huyu jamaa,hakika binafsi nimekuwa mshabiki wako wa damu,hauna unafiki kabisa DUDU...safi sana mkuu.

Sasa ndugu ikiwa kakufurahisha wewe binafsi, na haujataka kueleza hata kitu kimoja alofanya hadi kufurahi unabaki kusema tu yuko free stress sijui na sisi tunaweza vp kutoa hitimisho kuwa huyu kweli yuko free stress, bila kupata ni nini alofanya. Ni bora ungebaki nayo hii kitu kichwani kwako maana hapa haina tija, hatuna cha kujifunza
 
Huyu jamaa wewe humjui vizuri waulize maderevatax wa mwanza hotel watakuambia ana tabia mbovu sana halafu ni mbabe kupigwa makofi kuko nje tu
 
Huyu jamaa wewe humjui vizuri waulize maderevatax wa mwanza hotel watakuambia ana tabia mbovu sana halafu ni mbabe kupigwa makofi kuko nje tu
Nyie wasukuma kweli washamba hivi kweli unapigwa kofi na mwanaume mwenzako na unamkenulia macho big no! Mwambie aje na huku Arusha aje aoneshe ubabe wake huku tumrudishe dar na skin tait!
 
Nyie wasukuma kweli washamba hivi kweli unapigwa kofi na mwanaume mwenzako na unamkenulia macho big no! Mwambie aje na huku Arusha aje aoneshe ubabe wake huku tumrudishe dar na skin tait!
huko ni mashujaa wa bangi, mirungi, na viroba..wale jamaa wakipiga bangi na viroba usijaribu kuwasogelea, coz wanaishi kwa nguvu za stimu za bangi na viroba ni hatari sana..
 
MASKANI+BONGO+(8).jpg
 
ni ujiko kwa msanii/kioo cha jamii kuonesha hisia zako bila kujicontrol? mimi binafsi nadhani msanii ni mtu ambaye hatakiwi kuendekeza mihemuko na kuexpose hisia za aina yoyote kwa hadhira bali anatakiwa amudu sana hisia zake na mdomo wake,mana kuna vitu sio vizuri kuvisema mbele ya jamii.
 
Mashaka bhana....

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Nilikuwa nafuatilia interview ya dudubaya kwenye kipindi cha mkasi s09e09 dudubaya kanifurahisha sana jamaa,hakika huyu ni stress free zone,yupo free sana kuelezea hisia zake huyu jamaa,hakika binafsi nimekuwa mshabiki wako wa damu,hauna unafiki kabisa DUDU...safi sana mkuu.
Dudubaya huwa hafichi kitu kuhusiana na maisha yake.
 
Back
Top Bottom