IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Imani yangu wapo wadau hapo wako karibu na Dudu Baya huko IG anatukana mno.
Amepewa wito na basata ,anasema hatoenda kamwe,huku akitoa shit nyingi juu ya serikali na viongozi wa basata.
Cha kushangaza anatoa sifa kwa magufuli huku anatoa shit kwa wateule wake.
Sasa naomba waliokuwa karibu nae wamshauri vizuri sana.
Serikali inamtandao mpana asipokuwa makini watamshughulikia vilivyo coz wana mamlaka.
Ushauri wangu aache kupambana na viongozi wa serikali.
Hasa hii ya awamu ya5
Huyo mwakyembe,na mwenzake j shonza ndio wameshika mpini wa sanaa,wakiamua kuitumia BASATA watampiga pin ukizingatia maisha yake anategemea sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amepewa wito na basata ,anasema hatoenda kamwe,huku akitoa shit nyingi juu ya serikali na viongozi wa basata.
Cha kushangaza anatoa sifa kwa magufuli huku anatoa shit kwa wateule wake.
Sasa naomba waliokuwa karibu nae wamshauri vizuri sana.
Serikali inamtandao mpana asipokuwa makini watamshughulikia vilivyo coz wana mamlaka.
Ushauri wangu aache kupambana na viongozi wa serikali.
Hasa hii ya awamu ya5
Huyo mwakyembe,na mwenzake j shonza ndio wameshika mpini wa sanaa,wakiamua kuitumia BASATA watampiga pin ukizingatia maisha yake anategemea sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app