Mwanamziki Dudu baya a.k.a Konki Konki Konki Master ashangazwa na kitendo cha media nyingi kurusha vitu vya hovyo hewani pamoja na kuwahoji watu kama James Delicious, Amber Rutty ambao wanasifika kwa mambo machafu lengo lao ni nini?
Dudu Baya "Ameongeza pia kuna siku nilisikia mtangazaji ana hoji mambo ya hovyo hovyo bila hata kuchuja mambo, hivi vitendo vinachochea vitu vya kijinga kuongezeka Tanzania kwasababu wahusika wanaamini wakifanya vitu vya kipuuzi media zitawaomba mahojiano na watakuwa maarufu kweli hili nitalifanyia kazi na nitaongea na mhe Mwakyembe"
Dudu Baya "Ameongeza pia kuna siku nilisikia mtangazaji ana hoji mambo ya hovyo hovyo bila hata kuchuja mambo, hivi vitendo vinachochea vitu vya kijinga kuongezeka Tanzania kwasababu wahusika wanaamini wakifanya vitu vya kipuuzi media zitawaomba mahojiano na watakuwa maarufu kweli hili nitalifanyia kazi na nitaongea na mhe Mwakyembe"