Ladymasa JF-Expert Member Oct 2, 2013 877 335 Dec 1, 2013 #3 Jamani tukienda huko si tutarudi na maua mwilini kote duh!!! maana hadi magari sembuse watu.
Chachu Ombara JF-Expert Member Dec 11, 2012 5,897 10,358 Dec 1, 2013 #5 Wenzetu wanaona mbali sana haki,Tanzania maeneo ya wazi mafisadi wanagawana kila kukicha.