BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Leo Jumamosi Februari 26, 2022 huko Dubai kwenye maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Biashara na Uwekezaji ya Dubai Expo 2020 ni Siku Maalum ya Tanzania (Tanzania Day) kuonyesha fursa zake za uwekezaji, biashara, utalii n.k. ambapo Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgeni rasmi leo Jumamosi akiongoza Taifa letu kwenye maonyesho hayo makubwa kabisa kuieleza Dunia fursa za uwekezaji na biashara zilizopo nchini.
Nchi zote 192 zilizopo kwenye maonyesho hayo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wote wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kwa undani kila fursa ya Uwekezaji na kufanya biashara iliyopo Tanzania na kuwavuta waje kuwekeza nchini. Ni siku kubwa kwa nchi yetu na yenye maana kubwa sana kwa uchumi na maendeleo ya Taifa letu.
Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com
Nchi zote 192 zilizopo kwenye maonyesho hayo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wote wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kwa undani kila fursa ya Uwekezaji na kufanya biashara iliyopo Tanzania na kuwavuta waje kuwekeza nchini. Ni siku kubwa kwa nchi yetu na yenye maana kubwa sana kwa uchumi na maendeleo ya Taifa letu.
Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com