Dua zetu Watanzania zinahitajika kwa Aston Villa

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Goli 4-0 ni kipigo kikubwa kwa timu iliyo kwenye hatari ya kushuka zaidi. Nimeifuatilia kwa karibu klabu hii hivi karibuni tangu alivyotua ndugu yetu pale, na nilichokigundua kuna tatizo katika idara za ulinzi na hata viungo, pia kocha naye inambidi awe mbunifu wa kubadili mifumo ya uchezaji kwa maana ya formation. Yawezekana mapungufu hayo yameigharimu timu kwa kipindi kirefu mpaka timu kufikia hapo ilipo.

Samatta anasimama kati mbele peke yake, mipira haimfikii viungo wamekuwa na umahiri mdogo wa kumiliki mpira, hawako sharp kuigawa kwa wenzao na kusonga mbele badala yake mtu anataka kukimbia mita 10 na mpira peke yake mwisho wake adui wanaupata kirahisi na wakianza kushambulia goli wanakutana na beki isiyoweza kujipanga vizuri au iliyochoshwa na mipira mingi inayorudi mara kwa mara.

Tuwaombee timu yetu hii ili angalau wasalie EPL msimu ujao maana kibaya zaidi game zilizosalia ni ngumu mno.

Mungu ibariki Aston Villa.

Av.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoboa ni ngumu sana mkuu, Aston villa wabovu kati kati lkn ni wabovu zaidi nyuma kuanzia namba 2, 3, 4, na 5 hazina ushirikiano wala ubunifu inshort beki za villa zinaweza kuwa beki mbovu kuliko zote EPL hata kutuliza kwao ni shida, so huwezi ku survive ukiwa na beki km hz cz huwezi kujikinga na wezi af mlango ukaacha wazi, cha msingi tumuombee ndg yetu aendelee kufunga apate tm japo nayo ni ngumu kwa viungo wale.
 
Baada ya kuangalia mechi kadhaa za timu pendwa Aston Villa, Ni dhahiri timu ya Aston Villa ina kila dalili ya kushuka dalaja. Kila utakapoangalia mechi ya Aston Villa, kuna baadhi ya vitu viko wazi. Ni timu ambayo ina beki mbovu, wachezaji wana uzembe mwingi, kuna lack of confidence kwa wachezaji wengi. Ni timu ambayo ni HOPELESS, ni vyema Samatta akaanza kujipanga kucheza Championship, Aston Villa kushuka daraja ni jambo lisiloepukika.

NAWASILISHA!.
 
Baada ya kuangalia mechi kadhaa za timu pendwa Aston Villa, Ni dhahiri timu ya Aston Villa ina kila dalili ya kushuka dalaja. Kila utakapoangalia mechi ya Aston Villa, kuna baadhi ya vitu viko wazi. Ni timu ambayo ina beki mbovu, wachezaji wana uzembe mwingi, kuna lack of confidence kwa wachezaji wengi. Ni timu ambayo ni HOPELESS, ni vyema Samatta akaanza kujipanga kucheza Championship, Aston Villa kushuka daraja ni jambo lisiloepukika.

NAWASILISHA!.
Dah zimeshuka ngapi hata hii ikishuka hakuna ajabu wala tatizo
NI MTAZAMO WANGU
 
Baada ya kuangalia mechi kadhaa za timu pendwa Aston Villa, Ni dhahiri timu ya Aston Villa ina kila dalili ya kushuka dalaja. Kila utakapoangalia mechi ya Aston Villa, kuna baadhi ya vitu viko wazi. Ni timu ambayo ina beki mbovu, wachezaji wana uzembe mwingi, kuna lack of confidence kwa wachezaji wengi. Ni timu ambayo ni HOPELESS, ni vyema Samatta akaanza kujipanga kucheza Championship, Aston Villa kushuka daraja ni jambo lisiloepukika.

NAWASILISHA!.
Hivi na Samata nae atakua anashuka! ?
 
Goli 4-0 ni kipigo kikubwa kwa timu iliyo kwenye hatari ya kushuka zaidi. Nimeifuatilia kwa karibu klabu hii hivi karibuni tangu alivyotua ndugu yetu pale, na nilichokigundua kuna tatizo katika idara za ulinzi na hata viungo, pia kocha naye inambidi awe mbunifu wa kubadili mifumo ya uchezaji kwa maana ya formation. Yawezekana mapungufu hayo yameigharimu timu kwa kipindi kirefu mpaka timu kufikia hapo ilipo.

Samatta anasimama kati mbele peke yake, mipira haimfikii viungo wamekuwa na umahiri mdogo wa kumiliki mpira, hawako sharp kuigawa kwa wenzao na kusonga mbele badala yake mtu anataka kukimbia mita 10 na mpira peke yake mwisho wake adui wanaupata kirahisi na wakianza kushambulia goli wanakutana na beki isiyoweza kujipanga vizuri au iliyochoshwa na mipira mingi inayorudi mara kwa mara.

Tuwaombee timu yetu hii ili angalau wasalie EPL msimu ujao maana kibaya zaidi game zilizosalia ni ngumu mno.

Mungu ibariki Aston Villa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Grealish akiondoka wataanza kushinda.
 
Goli 4-0 ni kipigo kikubwa kwa timu iliyo kwenye hatari ya kushuka zaidi. Nimeifuatilia kwa karibu klabu hii hivi karibuni tangu alivyotua ndugu yetu pale, na nilichokigundua kuna tatizo katika idara za ulinzi na hata viungo, pia kocha naye inambidi awe mbunifu wa kubadili mifumo ya uchezaji kwa maana ya formation. Yawezekana mapungufu hayo yameigharimu timu kwa kipindi kirefu mpaka timu kufikia hapo ilipo.

Samatta anasimama kati mbele peke yake, mipira haimfikii viungo wamekuwa na umahiri mdogo wa kumiliki mpira, hawako sharp kuigawa kwa wenzao na kusonga mbele badala yake mtu anataka kukimbia mita 10 na mpira peke yake mwisho wake adui wanaupata kirahisi na wakianza kushambulia goli wanakutana na beki isiyoweza kujipanga vizuri au iliyochoshwa na mipira mingi inayorudi mara kwa mara.

Tuwaombee timu yetu hii ili angalau wasalie EPL msimu ujao maana kibaya zaidi game zilizosalia ni ngumu mno.

Mungu ibariki Aston Villa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkumbuke na dua kwa Mola atuepushe na virusi vya Korona. Mnakukumbuka mpira tu wakati hali ni tete. Huko iliko sasa hivi hata kwenye viwanja vya watoto hakuna mpira
 
Goli 4-0 ni kipigo kikubwa kwa timu iliyo kwenye hatari ya kushuka zaidi. Nimeifuatilia kwa karibu klabu hii hivi karibuni tangu alivyotua ndugu yetu pale, na nilichokigundua kuna tatizo katika idara za ulinzi na hata viungo, pia kocha naye inambidi awe mbunifu wa kubadili mifumo ya uchezaji kwa maana ya formation. Yawezekana mapungufu hayo yameigharimu timu kwa kipindi kirefu mpaka timu kufikia hapo ilipo.

Samatta anasimama kati mbele peke yake, mipira haimfikii viungo wamekuwa na umahiri mdogo wa kumiliki mpira, hawako sharp kuigawa kwa wenzao na kusonga mbele badala yake mtu anataka kukimbia mita 10 na mpira peke yake mwisho wake adui wanaupata kirahisi na wakianza kushambulia goli wanakutana na beki isiyoweza kujipanga vizuri au iliyochoshwa na mipira mingi inayorudi mara kwa mara.

Tuwaombee timu yetu hii ili angalau wasalie EPL msimu ujao maana kibaya zaidi game zilizosalia ni ngumu mno.

Mungu ibariki Aston Villa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi, hakuna cha dua wala maombi.

Mungu ni wetu sote. Ndiyo maana Mungu katupa utashi na akili tuzitumie kuandaa timu zetu na kusajili vizuri.

Aston Villa ni wabovu na kocha ni kimeo.
 
Back
Top Bottom