Dua za dhati kwa swahiba wangu Floyd Mayweather

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,300
20,971
Kuelekea pambano la 50 tangu aanze kucheza ngumi za kulipwa akitokea kule kwenye ngumi za ridhaa, namuombea sana mwanangu Floyd Mayweather aibuke kidedea kwenye pambano lake dhidi ya Conor McGregor litakalo fanyika T mobile arena Las Vegas.

Pambano hili litakuwa la mwisho kwa Floyd na ameshakula kiapo juu ya suala hili, ingawaje si mara ya kwanza kusema hivi kwa kuwa hata pambano lake dhidi ya Andre Berto alisema hivi hivi lakini hakusimamia msimamo wake.

Nahofia asije akapoteza aisee maana McGregor ni bondia mdogo sana, Floyd akipigwa itakuwa bonge la aibu kiasi kwamba mashabiki wake tunaweza tukafa kwa mshtuko, pia itamuharibia sifa yake iiyodumu kwa miongo miwili sasa.

Pia nahofia asije akapata usumbufu kama alioupata kwenye pambano lake dhidi ya Miguel Cotto lilimsababishia kutokwa damu kwa siku kadhaa.

Huyu Conor hata akipigwa hana cha kupoteza kwa kuwa ameshapigwa sana hapo awali.

Nahofia Floyd atajilinda sana ili asipigwe katika pambano hili, ila ubaya nahofia wasije wakamaliza sare au akampiga kwa points chache sana.


Conor anaonekana akijiamini sana katika pambano hili ingawaje ni bondia mbovu sana, lakini kwa upande wa Floyd amekuwa mara kwa mara akisema anaona kama pambano hili ataenda kupoteza kwa mara ya kwanza.

Kauli hii ya kupoteza inatupa simanzi sana mashabiki wake wa damu hasa mimi, nitaumia sana kama mdogo wangu Floyd atapoteza pambano hili.

Dua zangu za dhati ziende kwa undefeated world champion Floyd Joy Mayweather Jr a. k. a The Pretty Boy aweze kushinda kwa kishindo katika pambano lake litakalo chezwa usiku wa kuamkia jumapili
 
tapatalk_1503654624335.jpeg
 
Kuelekea pambano la 50 tangu aanze kucheza ngumi za kulipwa akitokea kule kwenye ngumi za ridhaa, namuombea sana mwanangu Floyd Mayweather aibuke kidedea kwenye pambano lake dhidi ya Conor McGregor litakalo fanyika T mobile arena Las Vegas.

Pambano hili litakuwa la mwisho kwa Floyd na ameshakula kiapo juu ya suala hili, ingawaje si mara ya kwanza kusema hivi kwa kuwa hata pambano lake dhidi ya Andre Berto alisema hivi hivi lakini hakusimamia msimamo wake.

Nahofia asije akapoteza aisee maana McGregor ni bondia mdogo sana, Floyd akipigwa itakuwa bonge la aibu kiasi kwamba mashabiki wake tunaweza tukafa kwa mshtuko, pia itamuharibia sifa yake iiyodumu kwa miongo miwili sasa.

Pia nahofia asije akapata usumbufu kama alioupata kwenye pambano lake dhidi ya Miguel Cotto lilimsababishia kutokwa damu kwa siku kadhaa.

Huyu Conor hata akipigwa hana cha kupoteza kwa kuwa ameshapigwa sana hapo awali.

Nahofia Floyd atajilinda sana ili asipigwe katika pambano hili, ila ubaya nahofia wasije wakamaliza sare au akampiga kwa points chache sana.


Conor anaonekana akijiamini sana katika pambano hili ingawaje ni bondia mbovu sana, lakini kwa upande wa Floyd amekuwa mara kwa mara akisema anaona kama pambano hili ataenda kupoteza kwa mara ya kwanza.

Kauli hii ya kupoteza inatupa simanzi sana mashabiki wake wa damu hasa mimi, nitaumia sana kama mdogo wangu Floyd atapoteza pambano hili.

Dua zangu za dhati ziende kwa undefeated world champion Floyd Joy Mayweather Jr a. k. a The Pretty Boy aweze kushinda kwa kishindo katika pambano lake litakalo chezwa usiku wa kuamkia jumapili
Muda gani zinaanza izo ndonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuelekea pambano la 50 tangu aanze kucheza ngumi za kulipwa akitokea kule kwenye ngumi za ridhaa, namuombea sana mwanangu Floyd Mayweather aibuke kidedea kwenye pambano lake dhidi ya Conor McGregor litakalo fanyika T mobile arena Las Vegas.

Pambano hili litakuwa la mwisho kwa Floyd na ameshakula kiapo juu ya suala hili, ingawaje si mara ya kwanza kusema hivi kwa kuwa hata pambano lake dhidi ya Andre Berto alisema hivi hivi lakini hakusimamia msimamo wake.

Nahofia asije akapoteza aisee maana McGregor ni bondia mdogo sana, Floyd akipigwa itakuwa bonge la aibu kiasi kwamba mashabiki wake tunaweza tukafa kwa mshtuko, pia itamuharibia sifa yake iiyodumu kwa miongo miwili sasa.

Pia nahofia asije akapata usumbufu kama alioupata kwenye pambano lake dhidi ya Miguel Cotto lilimsababishia kutokwa damu kwa siku kadhaa.

Huyu Conor hata akipigwa hana cha kupoteza kwa kuwa ameshapigwa sana hapo awali.

Nahofia Floyd atajilinda sana ili asipigwe katika pambano hili, ila ubaya nahofia wasije wakamaliza sare au akampiga kwa points chache sana.


Conor anaonekana akijiamini sana katika pambano hili ingawaje ni bondia mbovu sana, lakini kwa upande wa Floyd amekuwa mara kwa mara akisema anaona kama pambano hili ataenda kupoteza kwa mara ya kwanza.

Kauli hii ya kupoteza inatupa simanzi sana mashabiki wake wa damu hasa mimi, nitaumia sana kama mdogo wangu Floyd atapoteza pambano hili.

Dua zangu za dhati ziende kwa undefeated world champion Floyd Joy Mayweather Jr a. k. a The Pretty Boy aweze kushinda kwa kishindo katika pambano lake litakalo chezwa usiku wa kuamkia jumapili

Ni kawaida kwa wafalme kuanguka..jiandae kisaikolojia
 
we inaonekana huzijui ngumi na upo shallow sana, unasema gregory kapigwa sana sio kweli kapigwa mara moja tu,halafu mayweather kusema anaweza kupigwa ni danganyatoto.wenzetu wanajua biashara kama angesema atashinda kirahisi nadhan pambano lisingevuta hisia za watazamaji,pia kumbuka ye mwenyewe ndo promota
 
we inaonekana huzijui ngumi na upo shallow sana, unasema gregory kapigwa sana sio kweli kapigwa mara moja tu,halafu mayweather kusema anaweza kupigwa ni danganyatoto.wenzetu wanajua biashara kama angesema atashinda kirahisi nadhan pambano lisingevuta hisia za watazamaji,pia kumbuka ye mwenyewe ndo promota
usiropoke kitu usichokijua,


Conor McGregor ametandikwa mara tatu.
 
8c764b7461dc71aac53a486642bdd55e.jpg


Dharau na kejeli za Myweather kwenye pesa ndizo zilipelekea au ndizo zinamsababisha Conor amtamani zaidi ulingoni huyo mchizi halafu mchizi mwenyewe katoka kwenye hustling. Sasa nadhani kila mmoja kwa wakati wake lazima ana presha juu ya hili pambano. Mimi mwenyewe nalisubiri kwa hamu sana. Ila nipo upande wa Conor
 
anything can happen, tyson mwenyewe alipigwa.spirit ambayo ataingianayo gregory itakuwa ni hatari sababu ataandika historia ambayo iotachukua mda mrefu kuvunjwa, kutoka kwenye mchezo tofaut na ngumi na kumpiga legend wa ngumi,sifa zote ambazo anazo mayweather zitaamia kwa gregory, na itakuwa mbaya sana sababu maywether atakuwa anastafu kwa kipigo so ata akistaafu kitakumbukwa kipigo kuliko mazuri yote aliyoyafanya, na yeye analitambua hili thats why atakuwa makini sana, lakin nimeangalia mapambano yote ya mayweather kupigwa sio rahisi kabisa
 
Mywether nataka atandikwe aache ushamba. .mara kutembea na pesa na kupga nazo pcha mara msururu wa mabounser. ..aige wenye Pesa kina Jayz .$810 milion..P DIDY .$820 milion..yeye ata nusu ajawafkia ana $340 milion ila kila siku ni pcha kama demu na vinoti..wazungu wataendelea kutuacha tu huwez kukuta kna Bilget. .na vijana kama kna Neymar .. messi ..Ronaldo na wengne kwenye huu upuuz...wapo cool wakat pesa wanazo
 
M

Mshamba sana jamaa nataka anyooshwe ...aige wenye Pesa kna Jayz. ..P DIDY. ..Messi. .Ronaldo wapo cool yeye mara apge pesa pcha ..
Mara saa soon atafliska vbaya huyu.
angalia usije ukachekwa na watu.


Floyd ana hela kuliko huyo Mesi na huyo C.Ronaldo.

Halafu kingine, jaribu kupambana na hali yako, ukiona unachukizwa na utajiri wa Floyd na wewe tafuta zako tuone kama mpaka unafariki kama utafikia hata theluthi ya utajiri wake.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom