Dua: Kuliombea taifa na maombolezo ya kuondokewa na askari wetu ambao ndio usalama wa nchi yetu

Phd Hewa

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
572
466
Eh Menyezi mungu tunusuru na majanga kama haya pia inusuru nchi yetu na mabaya/
Wabaya wanaoingalia nchi yetu kwa jicho la ubaya wasifanikiwe.

Watie nguvu ndugu family na marafiki wa askari wote waliouawa kwa matukio Kama haya najua nguvu kazi na tegemezi kwa taifa imeangamia chonde chonde watie nguvu waja wako Amin..............

Pia tuwaombe wananchi kutoa ushirikiano yanapotokea matatizo Kama haya ili yasiweze kujirudia tena.

Mwisho ushauri kwa jeshi la Police matukio Kama haya yataisha endapo yakiwepo maelewano ya dhati kwa wananchi na vyombo vyote vya Usalama kwa kutenda haki sawa kwa wote.
 
Eh Menyezi mungu tunusuru na majanga kama haya pia inusuru nchi yetu na mabaya/
Wabaya wanaoingalia nchi yetu kwa jicho la ubaya wasifanikiwe.

Watie nguvu ndugu family na marafiki wa askari wote waliouawa kwa matukio Kama haya najua nguvu kazi na tegemezi kwa taifa limeangamia chonde chonde watie nguvu waja wako Amin..............

Pia tuwaombe wananchi kutoa ushirikiano yanapotokea matatizo Kama haya ili yasiweze kujirudia tena.

Mwisho ushauri kwa jeshi la Police matukio Kama haya yataisha endapo yakiwepo maelewano ya dhati kwa wananchi na vyombo vyote vya Usalama kwa kutenda haki sawa kwa wote.
Mungu hayupo katika haya!
 
Mbona walivotekwa kina ben hukuleta bandiko au njaaa inakusumbua ..tatizo njaaa
 
Back
Top Bottom