Du....hizi sms!!!!

SURN

JF-Expert Member
Sep 5, 2011
319
36
Kwa wale wazoefu wa facebook.nina sms nying sana kwenye e-mail yangu niliyojiunganayo na facebook coz post na comments zote zinaingia kwenye inbox ya e-mail yangu.nifanyeje ili nisiwe na sms nying kwenye e-mail yangu maana imekuwa kero
 
fungua facebook yako, nenda kwenye 'Account Settings', chagua notifications, then chagua notifications unazozitaka kupitia email, kama kwenye picha hapo...

78605972.jpg
 
Au fungua mail nyingine then zielekeze ziende huko badala ya mail yako ya maana.
 
fungua facebook yako, nenda kwenye 'Account Settings', chagua notifications, then chagua notifications unazozitaka kupitia email, kama kwenye picha hapo...

78605972.jpg




dah u mwanaume mzuri
napenda watu km nyinyi ....unajisemesha titizo then fastaaaaaaaaaaaa unapewa solution in simpo language... i
i like t....UNAFAAA FAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA kdgoooooooooooo.....soltn at tips..
 
dah u mwanaume mzuri
napenda watu km nyinyi ....unajisemesha titizo then fastaaaaaaaaaaaa unapewa solution in simpo language... i
i like t....UNAFAAA FAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA kdgoooooooooooo.....soltn at tips..
kweli Rose', waTanzania pamoja ckuzote,,,,,:clap2::clap2:
 
Kwa wale wazoefu wa facebook.nina sms nying sana kwenye e-mail yangu niliyojiunganayo na facebook coz post na comments zote zinaingia kwenye inbox ya e-mail yangu.nifanyeje ili nisiwe na sms nying kwenye e-mail yangu maana imekuwa kero
<br /> <br / asante kaka nimeona ngoja nione kama zitarudia tena kuingia.kilicho bak ni kuzifuta zilizokuwa zimeshaingia maana zipo kama 2891
 
dah u mwanaume mzuri<br /> napenda watu km nyinyi ....unajisemesha titizo then fastaaaaaaaaaaaa unapewa solution in simpo language... i<br /> i like t....UNAFAAA FAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA kdgoooooooooooo.....soltn at tips..
<br /> <br / asante kwa kunipenda na ningekuwa nakufaham ningekuwa najisemesha kwako ili nisaidiwe.siuna2jua wabongo 2livyo
 
kweli Rose', waTanzania pamoja ckuzote,,,,,<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/clap2.gif" border="0" alt="" title="Clap2" smilieid="149" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/clap2.gif" border="0" alt="" title="Clap2" smilieid="149" class="inlineimg" />
<br /> <br / nimeipenda safi sana
 
fungua facebook yako, nenda kwenye 'Account Settings', chagua notifications, then chagua notifications unazozitaka kupitia email, kama kwenye picha hapo...<br />
<br />
<img src="http://img7.imageshack.us/img7/2808/78605972.jpg" border="0" alt="" />
good, umempa solution nzuri. Tunahitaji watu kama nyie hapa JF! :)
 
good, umempa solution nzuri. Tunahitaji watu kama nyie hapa JF! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
<br /> <br / umeona eeh
 
Hata nami imenisaidia.Asante sana Rose.

Je inawezekana ukabadilisha username kwenye facebook?
kama inawezekana naomba maelezekezo.
si kwa Rose tu hata kwa yoyote anayejua.
asante
 
Back
Top Bottom