Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kuendeleza katika topic ya Jenerali ulimwengu kuwa CCM walishajifunga magoli matatu, yote yakifungwa na Makamba; (Hat trick), naona sasa Makamba anaongeza goli la nne kwa kusimamia kuondolewa kwa Sitta Katika uspika. What a goal......... Huyu jamaa naona sasa sio tu ataondoka na mpira uliotumika, bali apewe na vili vibendera vya waamuzi wasaidizi...