DT Dobie unveils new Volkswagen model manufactured in Thika, Kenya

Assemby ni process moja tu kwenye shughuli yote ya manufacturing kwenye viwanda. Sidhani kwenye nyakati hizi kuna kampuni, kutoka kwa nchi yeyote ile, ambayo inaweza ikajivunia kwamba inajitengenezea 'heavy machinery' au vitu kama magari na hadi simu, tablets, laptops kwa 100%. Utapata hata kwenye engines tu za magari kutoka km. Ujerumani kuna parts kutoka Austria, Turkey, China n.k, n.k. Ndio maana hatua zitakazofata baada ya hivi viwanda kufanikiwa kwenye sekta hii ya kutengeneza haya magari 'locally' nchini Kenya, ni viwanda vya kutengeneza parts pia.
1.How many raw materials are sourced from kenya?
2.G.o.k will be the main market for those overpriced vw as it has been with peugeots, No?
3.How many Jobs created for them to be given a tax holiday? -less than 0.0001 % of mechanics/ engineers who work on Ex used JAPAN
 
1.How many raw materials are sourced from kenya?
2.G.o.k will be the main market for those overpriced vw as it has been with peugeots, No?
3.How many Jobs created for them to be given a tax holiday? -less than 0.0001 % of mechanics/ engineers who work on Ex used JAPAN
Summarise, please. What exactly is your point? Kwamba wahamie dona kantri au?
 
No Tax breaks / Holidays from TZ Government for goods who's market (New Cars) is 95% government & Government institutions
Kwa viwanda vipi? Hebu kawaambie wenye vyerehani, vinyozi, saluni na blender za juice kuhusu hivyo vitu unavovizungumzia. Hakuna tax holidays au tax break ambazo viwanda vya vya kutengeneza magari Kenya vimepewa na GOK. Acha porojo na wivu. Walichofuta ni ile 25% import duty ambayo huwa inatozwa magari mapya yanayo agizwa kutoka nje. Very pratical.
 
Kwa viwanda vipi? Hebu kawaambie wenye vyerehani, vinyozi, saluni na blender za juice kuhusu hivyo vitu unavovizungumzia. Hakuna tax holidays au tax break ambazo viwanda vya vya kutengeneza magari Kenya vimepewa na GOK. Acha porojo na wivu. Walichofuta ni ile 25% import duty ambayo huwa inatozwa magari mapya yanayo agizwa kutoka nje. Very pratical.
Market for new cars in kenya is 5%
Out of this 90% is GOK + GOK institutions.
So in other words, you are using companies to steal tax from government..
Economics is not your forte..Uza ngombe pale namanga
 
Market for new cars in kenya is 5%
Out of this 90% is GOK + GOK institutions.
So in other words, you are using companies to steal tax from government..
Economics is not your forte..Uza ngombe pale namanga
Hebu leta facts na takwimu, sio porojo na mafeelings wewe mchumi uchwara. Ukipenda pia unaweza ukamnukuu Selena Gomez. :D Haya magari ni ya bei rahisi zaidi kwa wanunuzi hapa Kenya, iwe raia au mashirika ya kiserikali, zaidi ya magari mapya kama haya yanayoagizwa kutoka nje.
 
Leo lugha yenu ya kujitambia imekupiga chenga? maana hujui maana ya Assembling na manufacturing.
 
Assemby ni process moja tu kwenye shughuli yote ya manufacturing kwenye viwanda. Sidhani kwenye nyakati hizi kuna kampuni, kutoka kwa nchi yeyote ile, ambayo inaweza ikajivunia kwamba inajitengenezea 'heavy machinery' au vitu kama magari na hadi simu, tablets, laptops kwa 100%. Utapata hata kwenye engines tu za magari kutoka km. Ujerumani kuna parts kutoka Austria, Turkey, China n.k, n.k. Ndio maana hatua zitakazofata baada ya hivi viwanda kufanikiwa kwenye sekta hii ya kutengeneza haya magari 'locally' nchini Kenya, ni viwanda vya kutengeneza parts pia.
Asante kwa majibu Mkuu,ila lengo la swalilanguilikuwa kwa mleta mada,yeye amesema manufactured,lkn kwenye maelezo kinaelzwa assembly,
 
Assemby ni process moja tu kwenye shughuli yote ya manufacturing kwenye viwanda. Sidhani kwenye nyakati hizi kuna kampuni, kutoka kwa nchi yeyote ile, ambayo inaweza ikajivunia kwamba inajitengenezea 'heavy machinery' au vitu kama magari na hadi simu, tablets, laptops kwa 100%. Utapata hata kwenye engines tu za magari kutoka km. Ujerumani kuna parts kutoka Austria, Turkey, China n.k, n.k. Ndio maana hatua zitakazofata baada ya hivi viwanda kufanikiwa kwenye sekta hii ya kutengeneza haya magari 'locally' nchini Kenya, ni viwanda vya kutengeneza parts pia.
Assembling ni kuunganisha vitu tayari vilivyokuwa manufactured na kuviweka pamoja na kupata product husika.


Manufacturing ni kuibadilisha malighafi na kuwa product.

Mfano, kuchimba madini ya chuma na kuyaprocess kutengeza mlango wa gari. Hio ndio manufacturing.

Assembling ni kuuchukua mlango wa gari na kuuweka kwenye fremu ya gari.

Ama vipi?
 
DT Dobie Business Development Director Matt Olivier with DT Dobie General Manager Usha Nagpal during the launch of Volkswagen Tiguan Allspace on March 9, 2020.
DT Dobie Business Development Director Matt Olivier with DT Dobie General Manager Usha Nagpal during the launch of Volkswagen Tiguan Allspace on March 9, 2020. Image: VICTOR IMBOTO

DT Dobie in its bid to grow its range of locally assembled vehicles on Monday unveiled the new Volkswagen Tiguan Allspace which is produced at the KVM facility in Thika.

The Tiguan Allspace is a 7-seater which is an alternative to the 5-seater Tiguan launched a while ago.

“We are committed to further expanding our line of locally assembled cars to grow our brand in the country,” said Matt Olivier, Director Business Development DT Dobie.

The new Tiguan has a two-litre turbocharged 132-kilowatt engine mated with a seven-speed automatic transmission and is a four-wheel drive.

The car has two cost specifications with the Trendline going for Sh4.5 million and the Highline going for Sh5.5 million.

In 2016 DT Dobie launched the Volkswagen Polo Vivo which is the first locally assembled German car in Kenya.

This was followed by the Caddy Kombi and the Tiguan.

By assembling more of brands locally the firm is supporting the government's Big Four Agenda in the manufacturing sector.

The government has been working on implementing its National Automotive Policy which is expected to boost local assembling of motor vehicles in the country.

Dealers assembling vehicles locally are exempted from the 25 per cent import duty that is levied on fully-built imported vehicles, an incentive that gives room for assemblers to produce cheaper vehicles.

Source: The Star
Bei ya hii chuma kwa pesa ya tanzania ni kama sh ngapi??

sent from toyota Allex
 
I was thinking the same. Waendelee kutengenezewa wenye hela zao.
Imagine spending 90m (bila kodi) for a Volkswagen Tiguan! Ntakuwa mwenda wazimu.
Haijatengenezewa wadanganyika. Usife kwa chuki bure humu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom