Hamiyungu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 567
- 714
Siku za nyuma mteja wa DSTV compact ulikuwa huwezi kuona mechi live hata moja ya epl lakini siku hizi kutokana na ushindani kuwa mkubwa mtumiaji wa DSTV compact anaangalia mechi moja ya epl live kupitia supersport select, ligi ya Italy na mechi zingine unaziona siku moja baada ya kuchezwa. Pia kuna channel ya movie iitwayo universal studio ambayo wameiongeza juzi tu kwa watu wa compact nao wanaipata pia nasikia october 14 wataongeza channel kama tlc na discovery id kwa compact na premium.
Kule Kenya, Uganda na Zambia DSTV wameanzisha TV ya kulipia iitwayo gotv ambayo inapatikana kwa antenna kama star times, yote hiyo ni kuhakikisha wanakaba mpaka penati.
Kule Kenya, Uganda na Zambia DSTV wameanzisha TV ya kulipia iitwayo gotv ambayo inapatikana kwa antenna kama star times, yote hiyo ni kuhakikisha wanakaba mpaka penati.