Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,416
- 215,176
Kupata habari ni haki ya kikatiba , ni makosa kuwakosesha habari watu waliolipia , ni wizi wa mchana na haukubaliki .
Kupokea malipo ya wananchi ili kuwapa huduma ya kuwaonyesha channel kadhaa ni mkataba na ni lazima utekelezwe , inyeshe mvua au liwake jua .
Ndani ya ofisi yangu iliyoko Mbozi road karibu na chuo cha VETA tumeweka ving'amuzi kadhaa , vikiwemo StarTimes , Azam na Dstv , lakini cha kushangaza kwa zaidi ya masaa 7 ni DSTV pekee iliyo hewani , zingine zote zimezima kwa sababu ya mvua , ni nani atanifidia masaa haya yaliyopotea bure ? je mvua ikiendelea kwa siku kadhaa itakuwaje ?
Nakala kwa TCRA
Kupokea malipo ya wananchi ili kuwapa huduma ya kuwaonyesha channel kadhaa ni mkataba na ni lazima utekelezwe , inyeshe mvua au liwake jua .
Ndani ya ofisi yangu iliyoko Mbozi road karibu na chuo cha VETA tumeweka ving'amuzi kadhaa , vikiwemo StarTimes , Azam na Dstv , lakini cha kushangaza kwa zaidi ya masaa 7 ni DSTV pekee iliyo hewani , zingine zote zimezima kwa sababu ya mvua , ni nani atanifidia masaa haya yaliyopotea bure ? je mvua ikiendelea kwa siku kadhaa itakuwaje ?
Nakala kwa TCRA