luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Hii tabia yenu ya kipuuzi sanaa channel ya UBC Tv mnaikata gafla kwa sababu gani ? Hii tabia yenu kila mkiona stationn ya FTA inarusha matangazo ya mpira basi huwa mnaifungia (E38-32) hii tabia ina kera sanaa kama biashara imewashinda ni kheri mkasema