sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Wanabodi..
Najua tuko kwenye soko huria na bei inapangwa na watoa huduma (japo Serikali haikubali hili).. Lakini kulipa shilingi za kitanzania 128,000 kwa mwezi kwa ajili ya huduma za DSTV ni halali..? Pointi yangu hapa inarudi nyuma walipokuja kampuni ya Gtv (ambayo bahati mbaya ikafa kwenye anguko lile la uchumi duniani) waliweka ceilin price yao ambayo haikuzidi shs. 51,000..! Na hapo walikuwa wanaonyesha acilimia 80 ya mipira yote iliokuwa inaonyeshwa na DSTV.. Sasa kama wale wa Gtv waliweza kuweka kiaci hicho kidogo DSTV wanashindwa nini..? Au viongozi wanashindwa nini kuwalazimisha hawa kushusha fee yao ili wananchi wa kawaida nao waweze ku-afford..?
Kwenye usafiri wa anga wamekuja Fastjet.. Tunahitaji mkombozi kwenye sekta hii ya luninga..
Najua tuko kwenye soko huria na bei inapangwa na watoa huduma (japo Serikali haikubali hili).. Lakini kulipa shilingi za kitanzania 128,000 kwa mwezi kwa ajili ya huduma za DSTV ni halali..? Pointi yangu hapa inarudi nyuma walipokuja kampuni ya Gtv (ambayo bahati mbaya ikafa kwenye anguko lile la uchumi duniani) waliweka ceilin price yao ambayo haikuzidi shs. 51,000..! Na hapo walikuwa wanaonyesha acilimia 80 ya mipira yote iliokuwa inaonyeshwa na DSTV.. Sasa kama wale wa Gtv waliweza kuweka kiaci hicho kidogo DSTV wanashindwa nini..? Au viongozi wanashindwa nini kuwalazimisha hawa kushusha fee yao ili wananchi wa kawaida nao waweze ku-afford..?
Kwenye usafiri wa anga wamekuja Fastjet.. Tunahitaji mkombozi kwenye sekta hii ya luninga..