Kwaiyo sasa hivi hisa za voda zikiuzwa sh 600 utasemaje hapo?Kwani zimeshapanda hadi zianze kuporomoka...... ️
yeah ILO ndio neno Mkuu Mimi ndio game zangu hizo macheza na fixed narizika na target zangu nilizojiwekea... Hisa ni kama mchezo wa bahati nasibu Kula au kuliwa.....
Hakuna bank yoyote Tanzania inayotoa 14% ya Riba.jahazi linazama...
kwa maoni yangu fixed deposit ni afadhali kuliko hisa kwa awamu hii..
maana rate ya fixed interest ipo juu sana inaenda hadi 14 % per annum.. sasa una milion zako mia.. unatupia tu mwisho wa mwaka unavuta faida milion 14 huku mia yako imekaa tu
Hakuna bank yoyote Tanzania inayotoa 14% ya Riba.
Bank inayotoa Riba kubwa ni 8% ambayo ni Exim bank . Zilizobaki zote zinatoa chini ya apo CRDB bank wanatoa 7.5%kwa mwaka, na nyingine ni 7% zote. Na bado izo zote iyo faida wanakata 10% ya Withholding tax.
Mfano mzuri wa exim bank
Tshs 10,000,000x08%=Tshs 800,000
Iyo faida ya Tshs 800,000x10%=Tshs 80,000
Jumla Tshs 800,000-80,000=Tshs 720,000
Kwa iyo mtu aliyeweka milioni 10 anapata Tshs 720,000
Na aliyeweka million 100 anapata Tshs milioni 7.2
Saf sana Mkuu, umeeleweka vizuri..Na tukumbuke hyo 8% ni per annum, ina maana let say hyo hela umeiweka kwa miezi 6 tu..usipende kujifanya unajua kila kitu... nenda branch ya access bank uliza fdr parcent ngap kwa mwaka.. ukitoka hapo pita finca pia uliza fdr parcent ngap.. na ukitoka urudi hapa kuleta majibu...
jifunze kujifanya mjinga utajua mengi mazuri mazuri.....
nyinyi ndio mnafikiri bank ni crdb na nmb tu
Apo ndipo watanzania tunakosea, na tunatoka na kulaumu Bank. Fulani kwamba wezi wakupe iyo 14% si kila mtu atakuwa anaweka fixed deposit. Hakuna biashara iyo unless umetajiwa unapata kiasi fulani badala ya asilimiausipende kujifanya unajua kila kitu... nenda branch ya access bank uliza fdr parcent ngap kwa mwaka.. ukitoka hapo pita finca pia uliza fdr parcent ngap.. na ukitoka urudi hapa kuleta majibu...
jifunze kujifanya mjinga utajua mengi mazuri mazuri.....
nyinyi ndio mnafikiri bank ni crdb na nmb tu
Mkuu hujazifuatilia benki zingine.Hakuna bank yoyote Tanzania inayotoa 14% ya Riba.
Bank inayotoa Riba kubwa ni 8% ambayo ni Exim bank . Zilizobaki zote zinatoa chini ya apo CRDB bank wanatoa 7.5%kwa mwaka, na nyingine ni 7% zote. Na bado izo zote iyo faida wanakata 10% ya Withholding tax.
Mfano mzuri wa exim bank
Tshs 10,000,000x08%=Tshs 800,000
Iyo faida ya Tshs 800,000x10%=Tshs 80,000
Jumla XTshs 800,000-80,000=Tshs 720,000
Kwa iyo mtu aliyeweka milioni 10 anapata Tshs 720,000
Na aliyeweka million 100 anapata Tshs milioni 7.2
Apo ndipo watanzania tunakosea, na tunatoka na kulaumu Bank. Fulani kwamba wezi wakupe iyo 14% si kila mtu atakuwa anaweka fixed deposit. Hakuna biashara iyo unless umetajiwa unapata kiasi fulani badala ya asilimia
Hapo kuna insurance, Taxes wakupe yote, mkienda kwa afisa banks muulize na sio na kutoka na kufurahia umepata pesa bila hasara uliyoipata wewe uweke pesa ndefu kwa faida kidogo
Daah braza huwa nnafuatilia mambo yangu tuu humu jf ila umetisha juzi nimeshtuka SAA Tisa nkaona umekoment, nikisoma Uzi mpya top 20 lazima uwepo...inabidi upate tuzoNi hali ya uchumi mbaya au nini mkuu mpaka hiyo hali inatokea?