The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hii biashara ya dry cleaner inabidi uwe umejipanga kisawasawa hasa kwenye suala la generator maana umeme wa bongo ni kama ugonjwa wa moyo at any time you get screwed so namshauri angalie genrator zinaoendana na capacity ya hizo mashine anazotaka kuagiza all in i think for 7 million capital bado ni ndogo sana unless kama target ya biashara yake iko tofauti