Dropout
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 642
- 530
- Thread starter
- #141
Kazi mnayo. Mtu unaanza kuwa too personal to me kuliko kuwa personal na maisha yako!!Watu hawana hasira na dropouts, wana hasira na wewe(mtoa mada) ambaye umedrop ila kichwa kiko tupu hujui nini unafanya..unatakiwa urudi shule kwa hali ninayoiona kwako ili uondoe ujinga na upumbavu ndo uje mtaani kuendelea na maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mnavyohangaika mshahara hautoki..,
Sent using Jamii Forums mobile app