AVANTES
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 353
- 307
Mtasubiri sanaaaaa🐸🐸🐸🐸tutaenda kuwapokea mkuu hata usijali, lakini haiepushi kipigo kipo palepale
Mtasubiri sanaaaaa🐸🐸🐸🐸tutaenda kuwapokea mkuu hata usijali, lakini haiepushi kipigo kipo palepale
OKAY MTANI, TIME WILL TELLMtasubiri sanaaaaa🐸🐸🐸🐸
Au siooOKAY MTANI, TIME WILL TELL
SAWA KABISAAu sioo
Ila mtuombeee tuanaiwakilisha taufa mmjue
Kwa hiyo na wewe kabisa unaenda kuwacheka wenzio wanaongea kingereza kibovu...dunia ina maajabu hiiNaomba connection ya page ya orlando piratea nione jinsi wabongo walivyoivamia na viingereza vyao brocken
Mtaniiiiii banaaaaaaSAWA KABISA
MKIFUNGWA NI SIMBA IMEFUNGWA SIO TANZANIA AU SIOO NA MKISHINDA TANZANIA IMESHINDA
NDIO UTANI HUO, SIO YULE MWENZAKO KULE ANANITOLEA POVU KUNITUKANA NA MIMI WALA HATA SIJAMTUKANAMtaniiiiii banaaaaaa
Ngozi nyeusi ni laana, na roho za hivi zipo Bongo tuNaona Maombi yenu tukutane na Timu Dhaifu kwa sasa ya Al Ahly Tripoli ya Libya yamekataliwa na sasa tumepewa Matajiri na Majabali wa Soka la Afrika Orlando Pirates FC ya South Africa.
Kama Mbabe wetu Kaizer Chiefs FC kila akikutana na Orlando Pirates anachezea tu Kichapo ndiyo itakuwa Waswahili wa Kariakoo na Msimbazi?
Na msijidanganye katika Uchawi ( Ndumba ) kwani hawa Jamaa kwa Uchawi ndiyo Vinara na ili Kuonyesha kuwa hawatanii hata nchini Afrika Kusini sasa kuna Chuo Kikuu cha Uchawi ( Sangoma ) ambacho kwa sasa GENTAMYCINE namalizia dissertation yangu ili Nihitimu na mnikome rasmi na zaidi hapa Tanzania na hapa JamiiForums kwa wale watakaokuwa na Viherehere na Mimi.
Orlando Pirates FC wana Mawinga ( Viberenge ) wao Watatu ni hatari tupu halafu wanakimbia Tuisila Kisinda anasubiri kudadadeki.
Sasa Utamu wa Orlando Pirates FC ni katikati ( Midfield ) Wana Watu wawili hao wanapiga Pasi Mchomozo na Pasi Upendo Chama na Bwalya wakasubkri na kuna muda huwa wanapiga Pasi bila Kufumbua Macho na inafika kunakotakiwa.
Mwisho ni kwa Washambuliaji wao wakati Sisi Simba SC huku Kwetu Tanzania Fiston GENTAMYCINE Mayele anatusumbua sasa Orlando Pirates FC wana Washambuliaji wao Wanne ambao ni mara Kumi na Tano ya alivyo Mayele na kwa Beki 'nyoro nyoro' ya Simba SC naona tunafungwa idadi ya Goli ambazo hata katika Kikapu hayataenea iwe Mechi ya hapa Nyumbani Tanzania na kule Kwao Afrika Kusini.
Tukiwatoa hawa Orlando Pirates FC naahidi Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya ) kuanzia Stendi ya Mabasi Mbezi Mwisho ( Louis ) Dar es Salaam mpaka Msamvu Morogoro.
Mwisho wetu umeshawadia tusinune!!!!
Mpira ni furahaaaaa sio vitaaaaNDIO UTANI HUO, SIO YULE MWENZAKO KULE ANANITOLEA POVU KUNITUKANA NA MIMI WALA HATA SIJAMTUKANA
Kuombeana mabaya kwa sisi watani ni kitu cha kawaida ila kuna wengine mahaba yamewazidi utani hawauwezi
2 BILA DAR SAWA, VIPI KULE UGENINI?Simbs SC the pride of Tanzania.
Simba SC heshima ya Tanzania.
Ndivyo ilivyo taamkwa.
Huoni hiyo tu ni heshima.
Simba go go go all the way.
Afrika Mashariki hakuna mwakilishi zaidi ya Simba S C.
Muhimu Orlando Pirates Dar - hatoki 2- 0.
Mark my word.
Mengine ni Mungu.
Uko sahihi mkuuMpira ni furahaaaaa sio vitaaaa
Utaniii kwenye mpira lazimaaaaa
Kwaiyo vp sasa mshashona saree za reception maaana nyie ndo wakarinisha wageniiii wetu na tunawategemea sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uko sahihi mkuu
Jezi tushanunua za mafungu pale kariakoo tayariKwaiyo vp sasa mshashona saree za reception maaana nyie ndo wakarinisha wageniiii wetu na tunawategemea sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnaukarimu sanaaaa🐸🐸🐸🐸
Baaas 17 c mbaliiii tuombe uzimaJezi tushanunua za mafungu pale kariakoo tayari
Muhimu sana hiyoBaaas 17 c mbaliiii tuombe uzima
Msisahau kubeba maua
MANAAKE HAPO KWANZA NICHEKE 😂😂🤣🤣🤣
WATANI ZANGU ASANTENI KWA KUSHIRIKI, TUONANE MSIMU UJAO
MBWEMBWE ZENU ZINAISHIA ROBO FAINALI TU HAPO
ORLANDO PIRATES A.K.A ''Amabhakabhaka, The Sea Robbers, Bucs, Happy People, Buccaneers, Ezimnyama Ngenkani''
Uto... kwenye ubora wenuDah! Kweli ng'ombe wa maskini hazai! Yaani hapo Simba ana wakati mgumu. Bora hata angekutana na hao Waarab wa Libya, au Tp Mazembe!
Anyway, ngoja tusubiri tuone. Kwa sababu lolote linaweza kutokea. Maana bado hatujasahau walichofanywa kwenye mechi ya ugenini na Kaizer Chiefs msimu uliopita.
Reality ni ipi? Orlando Pirates na Simba ipi ni timu? Kumbuka Orlando ni vinara wa kundi lao