Driving School and Age for Motorbikes?

premudeshi

Member
Feb 21, 2019
5
0
Hi,
I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for motorbike. However, when I contacted TRA, they said you are required to be 18.

What is the correct driving age? And what driving schools are there for motorbikes?

Thanks
 
habari wakuu
nataka kupata kitambulisho cha magari makubwa ya abiria nitakapokuwa Dar, Dom au Zanzibar...kwa sasa nimeshapata kitambulisho cha magari madogo(kwa abiria watano-tisa) na cha pikipiki nchini China
maswali:
⒈je mwenye vitambulisho vya China ninaweza kuendesha madogo au pikipiki? au ni lazama nipate vitambulisho hivi tena nitakapokuwa Tanzania?
⒉tafadhali niambie namna ya kupata kitambulisho cha makubwa ya abiria(zaidi ya 10) jijini Dar/Dom/Zanzibar
⒊Sep. 2020 nitaenda Tanzania.
Mei. 2021 nitarudi China.
Baada ya kurudi nawezaje kutumia kitambulisho nilichopata nchini Tanzania?
Shukrani
 
Back
Top Bottom